Siyabonga101
JF-Expert Member
- Mar 8, 2016
- 2,424
- 2,297
Habari za kuamka kamanda.Naona father house anazidi kumkingia kifua dogo wake leo hata ile Tume ya madili washapigwa pini kiaina
Ova
Hili suala sijalifuatilia kiundani mkuu. Naomba unipe nafasi kidogo nilifuatilie kabla sijatoa jibu.
Au kama unaweza tafadhali nipe hints kidogo "Tume ya maadili" kulikoni?