WABHEJASANA
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 4,225
- 869
wewe ukiwa mmoja wao
Ahsante sana.
wewe ukiwa mmoja wao
Mabina huyu ni miongoni mwa watu ambao wamejijengea umaarufu mkubwa sana katika mikoa ya kanda ya ziwa hususani ndani ya ziwa victoria!
Huyu ni miongoni mwa watu ambao walikuwa wakituhumiwa na ujambazi wa kutumia silaha hasa katika miaka ya 90!
Ni miongoni mwa watu ambao wanadaiwa kuuwa wavuvi ndani ya ziwa victoria na kuwapora fedha na mali zao nyingine!
Ni miongoni mwa watu wanaodaiwa kufanya mauaji ndani ya ziwa yeye na wenzake kadhaa akiwemo dc na diwani mmoja!
Kifo cha huyu Mabina pengine ni malipo ya mauaji aliyokuwa akifanya dhidi ya raia wasiokuwa na hatia.
Dah!!nimekumbuka mbali sana juu ya huyu Mabina namkumbuka sana,namfahamu,ni mtu ambae anaogopwa hadi na maofis wa jeshi la polisi,alitumia vibaya sana madaraka yake ya uenyekiti wa ccm mkoa w mwanza!
Alijaribu kufite sana kwenye uchaguzi wa ccm mkoa mwaka huu,na miongoni mwa mambo yaliyomfanya achanganyikiwe!
Kuna juu ya huyu ndugu,mungu amsamehe sana,tena sana tu!!
Mabina huyu ni miongoni mwa watu ambao wamejijengea umaarufu mkubwa sana katika mikoa ya kanda ya ziwa hususani ndani ya ziwa victoria!
Huyu ni miongoni mwa watu ambao walikuwa wakituhumiwa na ujambazi wa kutumia silaha hasa katika miaka ya 90!
Ni miongoni mwa watu ambao wanadaiwa kuuwa wavuvi ndani ya ziwa victoria na kuwapora fedha na mali zao nyingine!
Ni miongoni mwa watu wanaodaiwa kufanya mauaji ndani ya ziwa yeye na wenzake kadhaa akiwemo dc na diwani mmoja!
Kifo cha huyu Mabina pengine ni malipo ya mauaji aliyokuwa akifanya dhidi ya raia wasiokuwa na hatia.
Dah!!nimekumbuka mbali sana juu ya huyu Mabina namkumbuka sana,namfahamu,ni mtu ambae anaogopwa hadi na maofis wa jeshi la polisi,alitumia vibaya sana madaraka yake ya uenyekiti wa ccm mkoa w mwanza!
Alijaribu kufite sana kwenye uchaguzi wa ccm mkoa mwaka huu,na miongoni mwa mambo yaliyomfanya achanganyikiwe!
Kuna juu ya huyu ndugu,mungu amsamehe sana,tena sana tu!!
Mabina huyu ni miongoni mwa watu ambao wamejijengea umaarufu mkubwa sana katika mikoa ya kanda ya ziwa hususani ndani ya ziwa victoria!
Huyu ni miongoni mwa watu ambao walikuwa wakituhumiwa na ujambazi wa kutumia silaha hasa katika miaka ya 90!
Ni miongoni mwa watu ambao wanadaiwa kuuwa wavuvi ndani ya ziwa victoria na kuwapora fedha na mali zao nyingine!
Ni miongoni mwa watu wanaodaiwa kufanya mauaji ndani ya ziwa yeye na wenzake kadhaa akiwemo dc na diwani mmoja!
Kama hayo unayosema ni sahihi basi Mungu amlaze anapostahili.Mabina huyu ni miongoni mwa watu ambao wamejijengea umaarufu mkubwa sana katika mikoa ya kanda ya ziwa hususani ndani ya ziwa victoria! Huyu ni miongoni mwa watu ambao walikuwa wakituhumiwa na ujambazi wa kutumia silaha hasa katika miaka ya 90! Ni miongoni mwa watu ambao wanadaiwa kuuwa wavuvi ndani ya ziwa victoria na kuwapora fedha na mali zao nyingine! Ni miongoni mwa watu wanaodaiwa kufanya mauaji ndani ya ziwa yeye na wenzake kadhaa akiwemo dc na diwani mmoja! Kifo cha huyu Mabina pengine ni malipo ya mauaji aliyokuwa akifanya dhidi ya raia wasiokuwa na hatia. Dah!!nimekumbuka mbali sana juu ya huyu Mabina namkumbuka sana,namfahamu,ni mtu ambae anaogopwa hadi na maofis wa jeshi la polisi,alitumia vibaya sana madaraka yake ya uenyekiti wa ccm mkoa w mwanza! Alijaribu kufite sana kwenye uchaguzi wa ccm mkoa mwaka huu,na miongoni mwa mambo yaliyomfanya achanganyikiwe! Kuna juu ya huyu ndugu,mungu amsamehe sana,tena sana tu!!
Kama ni kweli, basi hii ni mbaya sana! Wangempeleka katika vyombo vya sheria jamani.
Aliyekuwa mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza MABINA ameuwawa na wananchi wenye hasira kali kwa kupigwa mawe huko maeneo ya Kiseke jijini Mwanza.
Chanzo cha kuuwawa ni kwamba mabina aliwanyang'anya ardhi wananchi hao na kesi ikawa mahakamani na leo mchana Mabina bila kibali cha mahakama alikuwa anapanda miti na kujenga msingi wa nyumba ndipo wanachi wakaenda kumhoji iweje anapanda miti na kuweka msingi kwenye viwanja hivyo ilhali kesi ipo mahakamani?
Mabina akaanza kutoa lugha chafu na kurusha risasi hewani.
============
JamiiForums:
Kwa mujibu wa Katibu wa CCM ndg Joyce Masunga (maarufu kama Maziwa Fresh) ni kweli kuwa tukio hili limetokea na tunaendelea kufuatilia kupata habari zaidi
Aliyekuwa mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza MABINA ameuwawa na wananchi wenye hasira kali kwa kupigwa mawe huko maeneo ya Kiseke jijini Mwanza.
Chanzo cha kuuwawa ni kwamba mabina aliwanyang'anya ardhi wananchi hao na kesi ikawa mahakamani na leo mchana Mabina bila kibali cha mahakama alikuwa anapanda miti na kujenga msingi wa nyumba ndipo wanachi wakaenda kumhoji iweje anapanda miti na kuweka msingi kwenye viwanja hivyo ilhali kesi ipo mahakamani?
Mabina akaanza kutoa lugha chafu na kurusha risasi hewani.
============
JamiiForums:
Kwa mujibu wa Katibu wa CCM ndg Joyce Masunga (maarufu kama Maziwa Fresh) ni kweli kuwa tukio hili limetokea na tunaendelea kufuatilia kupata habari zaidi
R.I.P Clement Mabina.Aliyekuwa mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza MABINA ameuwawa na wananchi wenye hasira kali kwa kupigwa mawe huko maeneo ya Kiseke jijini Mwanza.
Chanzo cha kuuwawa ni kwamba mabina aliwanyang'anya ardhi wananchi hao na kesi ikawa mahakamani na leo mchana Mabina bila kibali cha mahakama alikuwa anapanda miti na kujenga msingi wa nyumba ndipo wanachi wakaenda kumhoji iweje anapanda miti na kuweka msingi kwenye viwanja hivyo ilhali kesi ipo mahakamani?
Mabina akaanza kutoa lugha chafu na kurusha risasi hewani.
============
JamiiForums:
Kwa mujibu wa Katibu wa CCM ndg Joyce Masunga (maarufu kama Maziwa Fresh) ni kweli kuwa tukio hili limetokea na tunaendelea kufuatilia kupata habari zaidi
Asante mkuu na udumu kutuletea mpya mpya kama hizi..na kwa vile ni mtu wa CCM basi sitoi RIP yangu kwake na familia yake
Chombo cha sheria cha nchi gani ambacho kingetenda haki? Polisi ya Tanzania kwa Mabina wa CCM? Sometimes hatua hii ya wananchi inatupa darasa na fundisho fulani ambalo linatakiwa kufanyiwa kazi na wenye mamlaka. Otherwise RIP MabinaKama ni kweli, basi hii ni mbaya sana! Wangempeleka katika vyombo vya sheria jamani.
Katika harakati za kujiokoa, alifyatua risasi na kuua mtoto mdogo.