BARDIZBAH
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 4,803
- 8,513
Yah Tabora moja hiyo VOTNamkumbuka alianziaga VOT - Radio ya Ragge huko Manyema Mboka moja
Yah Tabora moja hiyo VOTNamkumbuka alianziaga VOT - Radio ya Ragge huko Manyema Mboka moja
Huu ugonjwa ni nyoko sana. Una kawaida ya kuwaondoa wagonjwa, pasipo hata kutarajia.
But at that teen age? Dunia inaishaHuu ugonjwa ni nyoko sana. Una kawaida ya kuwaondoa wagonjwa, pasipo hata kutarajia.
Juma Ahmed Baragaza, Muhsin Mambo, Fred 'Fredwaa' Fidelis, Zuberi Msabaha (mzee wa bolingo time), Prince Baina Kamukulu na sasa ndugu yetu Dee7.Sahara media imeua watu wengi sana kwa stress
OngezeaJuma Ahmed Baragaza, Muhsin Mambo, Fred 'Fredwaa' Fidelis, Zuberi Msabaha (mzee wa bolingo time), Prince Baina Kamukulu na sasa ndugu yetu Dee7.
Nadhani ni mipango ya Mwenyezi Mungu, na sio msongo wa mawazo kama unavyosema.
Samadu Hasaan akisoma habari za Kimataifa pwagu na pwaguzi alikua mwamba sana..Ongezea
Samadu Hassan na
Steve Moyo Mchongi japo alifia Azam
Hadi muhsin Mambo alifariki???Juma Ahmed Baragaza, Muhsin Mambo, Fred 'Fredwaa' Fidelis, Zuberi Msabaha (mzee wa bolingo time), Prince Baina Kamukulu na sasa ndugu yetu Dee7.
Nadhani ni mipango ya Mwenyezi Mungu, na sio msongo wa mawazo kama unavyosema.
Rest in peace fredwaa piaSahara media imeua watu wengi sana kwa stress
Du apumzike kwa amaniYeah. Kipindi cha ule upepo wa corona