AbaMukulu
JF-Expert Member
- Jan 1, 2018
- 2,048
- 3,568
Taarifa ambazo zimewekwa kwenye mtandao wa kijamii wa balozi Omari Kashera unathibitisha kufariki kwa Captein Aboubakar Ibrahim Nkya. Marehemu amefariki nchini India alipokuwa anapatiwa matibabu.
Soma zaidi kumhusu
Soma zaidi kumhusu
Yu Wapi: Kapteni Abubakar Ibrahim Nkya Former Chief of Protocal Ikulu
Hivi huyu Mzee aliishia wapi. Nakumbuka aligombea ubunge na Tycoon Philemon Ndesamburo mwaka 1995 na kushindwa vibaya. Baada ya hapo akaenda kuwa mkuu wa itifaki ofisi ya Rais Ikulu. Mara ya mwisho nilisikia alifukuzwa kazi na Rais (Mkapa) baada ya kumzuia balozi wa Marekani asiende kuaga mwili...
www.jamiiforums.com