Tetesi: Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Nehemia Mchechu akamatwa na TAKUKURU

Status
Not open for further replies.
Na wale watangazaji wote waliokuwa wanamsifia maisha ni nyumba nao wakamatwe wakaisaidie mahakama kuna vitu watakua wanavijua maana walikuwa wanamwagia sifa kedekede
Pascal Mayalla anapona kweli? Maana Kibonde sasa ni dhahiri magonjwa nyemelezi yanaweza kufumuka kwa mpigo. Visukari, 'pulesha' fungus (mabaranga)
Just kidding!!

'Akitumaliza wapinzani anahamia kwenu' ==Tundu Lissu
 
Law of Karma... yeye kajifanya mjanja na kiherehere kumvunjia Mbowe bila hata notice, sasa leo yamemrudi.... na serikali walivo watafya watampa shitaka la kutakatisha fedha akanyee ndoo kwanza.. Aisee hapa duniani mtu usiwe na kiherehere ingawa bado ntazidi kumkubali huyu jamaa ila kwa issue ya kamanda Mbowe nilimchukia sana
Ukifanya kazi Serikalini now unakuwa kama kiKARAGOSI
....Mchechu hakuwa na jeuri yakuvunja lile
Jengo alikuwa anatekeleza Maagizo
 
Toa povu lakini huyo ndio Rais wetu
Huna lakumsaidia umuunge mkono au la
Labda kama wewe ni bashite. Ila kama sio, huna la kumtambia mtanzania yeyote hata kama ni upinzani.

Kikubwa ni kubishana kwa hoja maana tunaijenga Tanzania moja. Kama ni ufisadi, basi pasiwepo double standard au visasi.

Na kuhusu haya, yalishapigiwa sana kelele na upinzani ambao mnawaona hawafai leo na mnataka upinzani wenyewe ufe ili watu wafanye ufisadi watakavyo

Kama kweli mnauchukia ufisadi, chukieni kuwa na katiba ya zamani. Chukieni kufa kwa upinzani imara. Chukieni wabunge wa chama tawala kuendeshwa na serikali badala ya wao kuisimamia serikali.

Tafakari. Mimi ni mtanzania wa kawaida sina chama chochote
 
Kuna siku nilikuwa na mfanyakazi wa NHC akaniambia, ndugu, shirika limejifia ndani ila nje mnaona lipo. Limehelemewa na madeni na miradi imejaa ufisadi. Miradi iko over valued na kwamba ipo siku mtakuja kuona!!
Ni kweli naona. Walitengeneza makampuni yao ya kuchukua zabuni za kila huduma. Subirini muone watu watakavyoachia kazi ghafla kukwepa uchunguzi.
Nitaamini hii vita kuwa ni serious iwapo waliowahonga madiwani kule Arumeru watakamatwa!!
 
Sasa bila shaka mtaelewa kwa nini Rais wetu anaomba tumwombee.Kwa dhati ya moyo wake ameamua kusafisha nchi anapaswa kuungwa mkono na kila mtanzania mwenye nia njema na nchi hii.Nataka niwambie kwa mwendo huu Tanzania mpya yenye maendeleo haiepukiki.viva Magufuli viva Tanzania tuendelee kumwombea apambane na wale wote walikwisha ibia nchi hii kwa muda mrefu
KAMWE SIWEZI KUMWOMBEA MTU MWENYE HAKI ANAYETAWALA KWA SHERIA HUKU AKIONGOZWA NA KATIBA BALI HUWA NAMWOMBEA MWOVU ILI AACHE WOVU WAKE.
 
Tuachie mamlaka zifanyie kazi.
Lakini pia Serikali na taasisi zake ianze kuajili watumishi kwa mkataba wa muda maalumu.
Miradi mikubwa ya Serikali isifanywe na Serikali yenyewe, wapewe local contractors and consultants na wathibitishwe pasipo shaka kuwa hawana connections yoyote na Serikali zaidi ya kulipa kodi.
Ni wakati sasa wa PPRA, BLERA, CRB, AQRB na ERB kuwa ni vyombo vyenye nguvu kama ilivyo Takukuru.
Kama imebainika kuwa NHC wanajifanzia kazi zao wenyewe, vipi kuhusu wakala na taasisi nyingine.?
Tunakoenda uwenda operation safisha na tumbua tumbua ikahamia Wizara ya Ujenzi na Ardhi kwani wizara hizi ni pacha wanaofanana.
 
Sasa bila shaka mtaelewa kwa nini Rais wetu anaomba tumwombee.Kwa dhati ya moyo wake ameamua kusafisha nchi anapaswa kuungwa mkono na kila mtanzania mwenye nia njema na nchi hii.Nataka niwambie kwa mwendo huu Tanzania mpya yenye maendeleo haiepukiki.viva Magufuli viva Tanzania tuendelee kumwombea apambane na wale wote walikwisha ibia nchi hii kwa muda mrefu
Tunataka hizo kesi zikamilike wanaoonekana na hatia wafungwe na waliosafi waachiwe waendelee na shughuli zao sio kila cku kamata kamata na kuweka ndani watu na tatizo la sheria zetu zilivyo mbaya hata wakitoka hapana kipengele cha kudai fidia ni uonevu tu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom