Pagan Amum
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 1,932
- 4,395
Mara baada ya kusimamishwa kazi Jana, Nehemia Mchechu kakamatwa na TAKUKURU kwa mahojiano zaidi.
Taarifa zinasema Junanne atapandishwa mahakamini kwa makosa kadhaa yakiwemo uhujumu uchumi, uchepushaji na matumizi mabaya ya madaraka
Mytake:
Kwa kweli Rais Magufuli Mungu azidi kukubariki sana sana. Unafanya kazi iliyotukuta hasa kwa wanyonge. Mungu akubariki sana Rais Magufuli
=====
3:30 pm
JamiiForums: Tumemtafuta msemaji wa TAKUKURU lakini ameomba muda ili ajiridhishe na taarifa hizi hivyo habari hii imesimamishwa hadi iwe na uthibitisho.
Taarifa zinasema Junanne atapandishwa mahakamini kwa makosa kadhaa yakiwemo uhujumu uchumi, uchepushaji na matumizi mabaya ya madaraka
Mytake:
Kwa kweli Rais Magufuli Mungu azidi kukubariki sana sana. Unafanya kazi iliyotukuta hasa kwa wanyonge. Mungu akubariki sana Rais Magufuli
=====
3:30 pm
JamiiForums: Tumemtafuta msemaji wa TAKUKURU lakini ameomba muda ili ajiridhishe na taarifa hizi hivyo habari hii imesimamishwa hadi iwe na uthibitisho.