Kunguru Mjanja
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 2,036
- 3,929
Last edited by a moderator:
View attachment 236723
Kamanda akiwa na vijana wake
Sasa hapa ndio sielewi kabisa,Zitto kaingia chadema angali namiaka 16 hii picha ya kijani kaipiga lini au alikuwa akijipima chumbani
Haina haja ya kuwataja cause wanajulikana ndugu,hata uyo mabere naye me naisi ni wale wale tu lakin tutajua mwisho wake tu,Mrema tushajua mwisho wake ndugu na hao wengine tutajua mwisho wao,subira tu ndugu,na kutoka madarakani kwa mwalimu haikumaanisha kwamba hatoi maamuzi huo uwongo wakati yupo mwinyi huo mfumo wa vyama vingi ulianzishwa lakin mwalimu ndo alikuwa anaamua kila kitu,alafu acha ujinga hapa tunazungumzia huo mfumo maalumu ulipoanzishwa na sio kabla ya mfumo ndugu maana ata miaka ya kitambo Kuna watu wengi walikuwa wanampinga mwalimu akiwemo wambura nafikili kitambo icho alikuwa mbunge au mwenyekiti wa mkoa wa mara kitu kama icho ndugu na wengi tu walikuwa awapendi siasa ya ujamaaNadhani wewe ndio unataka kumpotosha mwenzio. Wataje hao nyerere aliowatoa serikalini waanzishe vyama. Hivi unajua mfumo wa vyama vingi umeanza mwaka gani na Nyerere ametoka madarakani mwaka gani? Unafahamu kuwa NCCR mageuzi chini ya akina Mabere Marando ilianza kama NGO harakati zake ni kudai mfumo wa vyama vingi mchini? Mzee mtei muanzilishi wa Chadema aalikuwa muajiliwa Serikalini? Abrahaman Babu na wengine walikuwa wanaharakati wasiokubaliana na sera za ujamaa
Badala ya kufurahi kaondoka mnaanza kuweweseka? Ndo keshaondoka sasa mmebaki na masela tu kina sugu wenje lema nasari nk. Yule mzee wa kupaniki Tundu keshawaingiza chaka!
Unajua akili zangu fupi sio ndefu kama zakoWe huoni kama imekua edited TUMIA AKILI
Sasa hapa ndio sielewi kabisa,Zitto kaingia chadema angali namiaka 16 hii picha ya kijani kaipiga lini au alikuwa akijipima chumbani
We huoni kama imekua edited TUMIA AKILI