Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 14,970
- 10,462
Wote wa mufindi ila Mungai kaskazini RIP kusini na waluikuwa wabunge wote. Malangalila nilimfahamu wakati nasoma Malangali High school alikuja kupiga siasa zake. Anyway RIP mbunge.
Hapo kwenye wekundu na mimi nilikuwepo wakati akipiga longolongo kule Malangali. Nadhani ndio mara ya mwisho lilimuona live.