CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,255
- 12,872
Aiseee... Hilo ndio tatizo la movie za kibongo zinawahi kuishaaaa, bora zingevuta vuta muda make nilishaanda popcorn zangu za kutosha
....Aiseee... Hilo ndio tatizo la movie za kibongo zinawahi kuishaaaa, bora zingevuta vuta muda make nilishaanda popcorn zangu za kutosha
....
.....Mkuu za Mwanza long time
Waulize majirani watuambie km akianza kubadili mboga,saluni,na kamotokaa basi atakuwa kaneema kafursa kamemtembelea huyo kada,ila zero brain anavopenda ligi atamuacha lzm atamshughulikia Kwa kuharibu muvi iliyofikia mwisho.Ngoja tusubirie na ya mchina.Team Lowasa wameshafanya yao nini, maana team Lowasa na team Makonda hawajambo kwa usanii.
White air zimejaa busara sio primitive wa visasi na hana PhD ya roho mbaya atapotezea tu,atahukumiwa na jamii.Amuache tu amsamehe,
Kama Binti alitumwa basi atajuana ye mwenyewe na aliemtuma,
Kiranga komo!Enheee
Tuliwaambiaa
Labda akupewa chake,maana ukishatumika na chama chakavu kuwafanikisha yao,chako unazungushwa au unazimwa,waulize bongo movie, au yule wa magazeti ya udaku.ningeshangaa kama KONDAKTA wa jiji lile angefanikisha mchakato huu bila kuvurunda.... nadhani alimnunua kama alivomnunua yule wa kusema amezaa na Gwajima.......................... AKILI HUNA, VYETI HUNA, MARINDA HUNA, MTOTO HATA WA KUSINGIZIWA HUNA,,,,, UNA TAKO ZURI TUUU
Walimu kusafiri bure,list fake ya madawa, Vijana wasio na ajira leaders, shisha,ombaomba,migogoro ya ardhi,meli ya matibabu ya wachina,nk.Chochote kifwanywacho Kwa hila ya kukomoa watu huwa hakidumu,yule mwenye mwili Mkubwa akili kisoda ndo watunga movie unategemea nn,Bashite hajawahi kufanya jambo likafanikiwa
Haya ni makaburi hata katoliki kuwa awamu ijayo omba uzima tu utayashuhudia tu,kujipatia stahiki za umma Kwa kutumia jina lisilo lako.Kwa watu tunaofahamu akili ya 'Bashite' hatuwezi kushangaa habari kama hizi..ila tunazishangaa mamlaka zilizomuweka madarakani kuendelea kumuamini huyu 'Tahahira' wakati wakijua hastahili kupewa nafasi yoyote ile serikalini kwa mambo ya ajabu ajabu ambayo amekuwa akifafanya..Hili pamoja na mengine yanatosha sio tu kumuondoa madarakani bali hata kumfikisha katika vyombo ninavyohusika na nidhami awajibishwe...'shame' kwa wale wanaoendelea kumlinda 'mwehu'kama huyu