Nani kamfanya wa moto mpaka apozweKapozwa huyo,money talks!!!!chezea Lowassa wewe.
Hahahaa..... Ngabu bhana!Hivi ana akili timamu kweli huyo?
Mambo kama haya ndo yanamuondolea kabisa credibility huyo Paulo Makonda!!!
Amuache tu amsamehe,
- Kama ni kweli anayeshikwa na nyama ya wizi ndio mwizi Lowasa amburuze mahakamani amdai fidia yeye kama alitumwa naye awaburuze mahakamani waluomtuma sio kazi ya Lowasa kujua nani alimtuma yeye amburuze huyo binti amlipe kama alitumwa na third party sio wajibu wa Lowasa Ku deal na third party .Amkabe huyo binti na mama yake hadi kieleweke.Ushahidi wao uko wazi kuliko wa third party
Na uthubutu wake.Kabla yake alipozwa na nani?
Yawezekana Nina taarifa ya diaspora kusafiri toka nje ya nje kumalizana na wanawake waliowatelekezea wake na watoto baada ya Makonda kuwaambia ataenda balozi za nchi waliko yeye mwenyewe kutaka warudishwe nchini au wafutiwe visa wakigoma kuja kujibu kesi za kutekelekeza wake na watoto.Yawezekana Lowasa kakubali yaishe asiadhirike zaidi kampa dau nono yeye na mama yake .Diaspora watelekezaji wanahahaTeam Lowasa wameshafanya yao nini
Kweli aisee yani hizi team mbili zinachuana kwa usaniiTeam Lowasa wameshafanya yao nini, maana team Lowasa na team Makonda hawajambo kwa usanii.
Thibitisha kwamba wewe unaaminika...Mkuu usimfuate Return Of Undertaker ni muongo kuliko wote hapa duniani...!!