Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 1,747
- 3,379
Huwa naamini binadamu wote tumeumbwa kutembea kwa mikono miwili na miguu miwili kama ilivyo kwa hawa wanyama mbalimbali tunaowaona leo hii kama mbuzi, ngombe, mbwa nk.
Na ndio maana pale utotoni unatembea hivyo. Huku kutembea kwa miguu miwili tunafundishwa baadaye na wakubwa zetu.
Sasa huyo aliyetufundisha kuacha kutumia miguu na mikono na badala yake tutembee kwa miguu tu aliwaza nini? aliona nini kimepungua?
na je hali ingekuwaje kama tungeendelea kutembea kwa mikono na miguu?
Na ndio maana pale utotoni unatembea hivyo. Huku kutembea kwa miguu miwili tunafundishwa baadaye na wakubwa zetu.
Sasa huyo aliyetufundisha kuacha kutumia miguu na mikono na badala yake tutembee kwa miguu tu aliwaza nini? aliona nini kimepungua?
na je hali ingekuwaje kama tungeendelea kutembea kwa mikono na miguu?