Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,401
- 20,661
Yule Gavana wa Bank anayeshutumiwa kubanjuka na First Lady wa Zimbabwe (Grace Mugabe almaarufu kama Dis-grace Mugabe) sasa ameingia mafichoni akihofia usalama wa maisha yake!
Inadaiwa kwamba anaogopa baadhi ya mashushushu wanaojipendekeza kwa mzee Mugabe wanaweza kummaliza hata kabla mzee hajatoa amri, wakiamini kwamba kitendo kile kitamfurahisha mzee Mugabe!
Cha mtu mavi!
Kwa habari zaidi gonga hapa: Gono in hiding over affair with Grace Mugabe*|*ZimDaily
Inadaiwa kwamba anaogopa baadhi ya mashushushu wanaojipendekeza kwa mzee Mugabe wanaweza kummaliza hata kabla mzee hajatoa amri, wakiamini kwamba kitendo kile kitamfurahisha mzee Mugabe!
Cha mtu mavi!
Kwa habari zaidi gonga hapa: Gono in hiding over affair with Grace Mugabe*|*ZimDaily