Mallaba
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 2,554
- 46
yule jamaa ukim-face anakutoa sura yako mara moja,au una weza uka-potea ghafula bila mtu kujua.....yule gavana anajua kabisa kuwa mauti yake ipo mda wowote hivyo ni lazima akimbie.
by :smile-big:the way mke wa mtu ni sumu,na mshahara wa dhambi ni mauti
by :smile-big:the way mke wa mtu ni sumu,na mshahara wa dhambi ni mauti
ISHU KAMA HIZO WALA HAUINGII MTINI UNAM-FACE MZEE MUGABE MAN TO MAN:smile-big: