squareroot
Senior Member
- Feb 8, 2013
- 118
- 24
Hebu funguka vizuri unamhurumia kwan ukimduu amekwambia anaumia au umeona nini weka bayana tusaidiane mawazoNampenda sana ila Namuhurumia kwa hali yake ile...
Hebu funguka vizuri unamhurumia kwan ukimduu amekwambia anaumia au umeona nini weka bayana tusaidiane mawazoNampenda sana ila Namuhurumia kwa hali yake ile...
WE KWELI CT SCAN YAKO YA MCHINA
Kama unampenda, endelea naye...kama humpendi mwache, kukeketwa sio hiari yake na nina uhakika angepewa choice asingekubali
Are you perfect kila idara?
Grow up
kuna muda huwa sielewi
sijui ni kukua sijui ni kuwa mjinga sijui ni kujitambua sana,pengine ni ufala wangu!
kuna kazi sana ,tena sana kwenye hii habari ya kupenda na kupendwa!
pengine inanipasa nikasome upya kama sio niingie upya field ili nijue what exactly does it take to love a person!
haa. wewe nawe wa ajabu!! kwani hana joto??utamu wa sex ni ujoto ule.... hayo mashavu sijui "kisimu" ni addition tu kama kachumbari kwenye pilau !!
Ila kaka kwa upande mwingine siohi haja ya huyu bwana kuendelea na huyu binti kama haridhiki na hiyo hali. Tuwe wakweli, unajua hapa MMU saa nyingine unafiki ni mwingi sana. Mara ngapi hapa watu na hata wewe mkuu Kaizer mnatetea ishu ya kutouziwa mbuzi kwenye gunia??!!! Sasa tujiulize hii falsafa inayotetewa sana ya kujaribu kabla ya kuoana mantiki yake ni nini kama sio kuachana na yule unayeona huridhiki naye??!!! Maana kama kujaribu kupo basi ni wazi matokeo ni aidha kukubalika au kutokubalika. Sasa sijaona kosa la huyu bwana kuuliza alichouliza.
Kingine ni kuwa kuna watu wanapenda wanawake waliokeketwa. Sioni sababu ya huyu jamaa kujilazimisha kukaa na mtu asiyeridhika naye wakati kuna wanaume wanaweza kumpenda kwa jinsi alivyo.
mkuu mjasiria, ukisoma apo nimeandika kwamba akama anampenda aendelee naye kama la amwache....kama haridhiki na hiyo hali,,,ndio utekelezaji wa dhana yenyewe iyo.....na nikampa angalizo...kwamba na yeye ako perfect kila idara?
yeye hataki kucompromise apo kwen kukeketwa so atafute ambaye hajakeketwa..ila anaweza kumkuta na upungufu mwingine
Kwa mwanamke tunaangalia tabia njema tu..mengine ni ziada.
Sasa mkuu utanisahihisha kama nitakuwa nimekosea. Unapotetea kuchovya kabla ya ndoa huwa una maana kuwa tabia inajulikana kwa kugegeda??!!!
WAPENDWA hali zenu huko mlipo? Natumaini mko poa sana.
Mwenzenu yamenikuta yanayoniacha njia panda.
Ila kwa msaada wenu natumaini nitapata mawazo mapya na kuachana na fikra zangu.
Ngoja niwaelezea mkasa wenyewe.
Ni hivi nina MCHUMBA ambaye alikataa ''katu'' kunipa PENZI lake mpaka tuoane.
Ila kumbe alikuwa anajua ya MOYONI mwake.
Baada ya kumshawishi mpaka amekubali ni kuwa nilichokikuta ni MAJANGA. Nilimwonea huruma sana.
Ni hivi Mchumba mwenyewe AMEKEKETWA.
Naombeni Ushauri NIENDELEE naye Au NIMUACHE?
from SINGIDA... {Mnyaturu}
Nampenda sana ila Namuhurumia kwa hali yake ile...
from SINGIDA... {Mnyaturu}