Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,674
Samahani kama nitakukwaza lakini sina budi kuuliza. Hivi senetor, kwa nini unapenda kurudia rudia jambo?? Nasema hivo coz ni siku chache tu zilizopita ulileta uzi ukisema ex-girl friend wako anakutaka na ukauliza kuwa utembee nae au la! Again kuna thread nyingine ukauliza almost the same thing ispokuwa penyewe alikuwa ni galfriend wa rafiki yako ndo anakutaka. Na leo tena umekuja na uzi wenye mambo yaleyale, ina maana ushauri/maoni unaopewaga huwa unaenda wapi i.e huwa unaufanyia nini? Well, repetition/mgongano wa nyuzi sio mbaya ikiwa ni kwa watoa maada tofauti, lakini ikiwa ni kwa mtu yuleyule jamani........ (IMO) inachosha hasa ukizingatia na jambo lenyewe ni hili!!