samsun
JF-Expert Member
- Feb 9, 2014
- 7,386
- 5,954
Kwahiyo ndio sababu wimbo kuwa m'baya, si ndio ???Ukiona kitu haukijui basi unauliza kwanza kwa jirani yako hapo ulipo,Joho Tena ni wimbo wa kampeni kwa ajili mshikaji wake wa Mombasa anaitwa Joho ni kama marehemu Capt Komba alivyotuimbia CCM nambari 1 vileeee