Dumelambegu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,052
- 257
Wandugu,
Hivi ipo tofauti gani kati ya staili aliyotumia rais kwenye semina elekezi ya hivi karibuni huko Lidodomya na mimi ambaye naamua kuweka hadharani udhaifu wa mke wangu mbele ya waandishi wa habari kwa mbwembwe zote halafu nikitoka hapo naendelea kuishi nae???
Hivi ipo tofauti gani kati ya staili aliyotumia rais kwenye semina elekezi ya hivi karibuni huko Lidodomya na mimi ambaye naamua kuweka hadharani udhaifu wa mke wangu mbele ya waandishi wa habari kwa mbwembwe zote halafu nikitoka hapo naendelea kuishi nae???