mamawee! hapa ndo tunamuona gavana anajenga nyumba yake kwa 1.4bil, hawa watu wapo kwenye nchi iliyojaa madini ya kila aina, ardhi yenye rutuba na rasilimali kibao. Tena wanae mbunge wao mwenye afya na raha tele kila siku. Viongozi kibao wamewazunguka watu hawa, viongozi wasiokera, wasio na huruma hata kidogo.
mbaya sana.
Hawa Watanzania wanajitakia wenyewe.
Uchaguzi ukifika wanapata Tshirt za kijani na njano.
Akina mama wanapata Kanga na mwisho wote wanakula Pilau.
Wakitoka hapo ni CCM tu. Miaka 40 badi hamjafunguka macho.
Mwisho mtu unasema ACHA WAFU WAWAZIKE WAFU WENZAO.
Alafu kuna watu (should read mijitu) wanakuja hapa kumtetea gavana kujenga nyumba ya TZS 1.4 billioni, vipaumbele vyetu sijui viko wapi.
Mmmmmhhhhhh ningekuwa mimi (kama siwezi kusaidia kubadilisha haya maisha) nisingethubutu kugombea hata udiwani achilia mbali huo urais na ubunge!! Hii ni laana, 2 days before 2010.