Huwa mwanaume anayekimbilia kuwaongelea wazazi kwenye issue zisizo za lazima huwaga simtofautishi na mwanamke. Huwezi kumtetea msanii umpendae bila kuhusisha baba au mama?Wacha wee hivi ukimwekea mamako shake ua bambam ya mond na Mwana ya alikiba atapenda ipi labda??...#samahani lakini jibu ni Mwana na ikitokea kataka shake ua bambam basi simply atakuwa SHANGINGI hahahahaaaaa
Acheni izo