Ali Kiba Fans' Special Thread...

Le king himself
 

Attachments

  • 1439921129438.jpg
    1439921129438.jpg
    31 KB · Views: 131
Wassalam!
Jamani mimi hapo siku za nyuma nilikua nimesononeshwa sana na Ukimya wa King na maneno makali na vijembe vya mashabiki hasimu kutokana na sababu mbali mbali.
Siku zinavyozidi kwenda, naona sikukosea kabisa kumtunuku Ali kiba, Kazi nzuri Ali, endelea hivo hivo,
Kazi nzuri sanaa, mwenendo mwanana.Sitegemei kukuona Mwanza wala Arusha ukanisononesha moyo wangu kwa kuambatana na wale Maccm ingawa una option hiyo.
 
wabongo tunapenda sana kuchukulia vitu kawaida kawaida....labda sifuatilii mziki ila hii comeback ya king kiba inabidi iweke kwenye historia!staki kuamini na nyimbo mbili tu tangu arejee ndo anasumbua hivi!huyu jamaa inabidi awe anatoa wimbo na kupumzika kama miaka miwili na kurudi tena kwani ataendelea hivi atauua mziki wa bongo kwani atabaki peke yake kwenye game!...kuna watoto tangu king arudi sijui wameishia wapi maskini!nakumbuka king alivyokuwa likizo mziki wa bongo ulikuwa kama kambale yaani hujui mwanamuziki mkubwa yupi mdogo yupi nayejua yupi asiyejua yupi eti mpaka rich mavoko akaleta usumbufu kwenye game!... tangu ally arudi kwenye game kuna million 175 kavuta kwenye show chache nizijuazo ambazo hizo nna uhakika nazo bado hizo zingine nyingi!ila katulia kama siyo yeye!hana tantarira
 
Haaaahaaa goli la mkono kivipi
Kiba amesharekodi project ya cokestudio ,
At the same time akapiga his personal project na Neyo & iceprince
Pamoja na sauti Sol

Sifa za kijinga, bao la mkono wamejifunga wao. Kule South walinogewa kukata mauno tu wakasahau ka kuna Mr. Independent pembeni!!! Leo Kiba kafanya yake ndo wanajitutumua kurefusha masikio!
Madhara ya kuchambia mrenda hayo
 
Yaani Kiba kama unasoma hapa usifanye kabisa huo upuuzi wa kuipigia kampeni CCM. Yaani ni bora ukapiga kimya tu kama huna uhakika uside na upande upi.

Kwani ukipewa hizo mil 100 au 200 zitakufikisha wapi hasa ambapo unaona we utakuwa umetoboa hasa!
Acha waliochukua wachukue coz alimopita fulani si lazima upite ili ufanye jambo flani. Maswali na mitihani ya maisha ni tofauti kwa kila mja!
 
Avemaria Kiba show atapiga endapo ccm watampa dili na wakifikia maelewano,
Ila sio kampeni au kushawishi watu wakichague chama fulani
 
Last edited by a moderator:
wabongo tunapenda sana kuchukulia vitu kawaida kawaida....labda sifuatilii mziki ila hii comeback ya king kiba inabidi iweke kwenye historia!staki kuamini na nyimbo mbili tu tangu arejee ndo anasumbua hivi!huyu jamaa inabidi awe anatoa wimbo na kupumzika kama miaka miwili na kurudi tena kwani ataendelea hivi atauua mziki wa bongo kwani atabaki peke yake kwenye game!...kuna watoto tangu king arudi sijui wameishia wapi maskini!nakumbuka king alivyokuwa likizo mziki wa bongo ulikuwa kama kambale yaani hujui mwanamuziki mkubwa yupi mdogo yupi nayejua yupi asiyejua yupi eti mpaka rich mavoko akaleta usumbufu kwenye game!... tangu ally arudi kwenye game kuna million 175 kavuta kwenye show chache nizijuazo ambazo hizo nna uhakika nazo bado hizo zingine nyingi!ila katulia kama siyo yeye!hana tantarira

Sasa Kama Ana izo 175 million mbona bado yeye na familia yao inalelewa na sugar mummy ambae yupo uingereza katika basic needs
 
Back
Top Bottom