kedrick
JF-Expert Member
- Apr 25, 2015
- 5,062
- 4,874
Na huyu ni king wa tandale
Mambo vp jana ulienda kwny pilau la mashabiki wa kiba real fans anyone humu ndani najua hamna aliepata mwalikoz
Na huyu ni king wa tandale
Hahah mkuu ingekua party ya WCB ingebidi Raisi akodi uwanja wa Taifa.
Kweli kabsa maana Jana walikuwa wachache sn kwa kibakuli
Duuuh huyu jamaa anatisha..
Kiba bhana ni namba nyingine.
Yaani hapo ni live hamnaga feedback ila watu wame enjoy kinoma.
Sauti ya kiba ni nzuri sana na anajua kuitumia.
Akiendelea hivi atakuja kuwa msanii mkubwa aliyetoka kivyake yaan kwa stail yake.
Hahah wale ndio die hard fans sasa yani dam dam sio wengne wanatuigizia. #Inaumakwelkukosamualiko
Amnaga "feedback" kiruuuu
My dear, kwakua mimi ni muelewa najua matatizo ya hizi smart phone sometimes zinazingua.
Hivi wewe nae unajiita mwanaume? Na hapo si ajabu una mwanamke au mke na familia ambaye nae anadhani ana mwanaume.
Acha huu upumbavu, act like a man.
Mwanaume wa ukweli hawezi fanya ujinga kama huu.
My dear, kwakua mimi ni muelewa najua matatizo ya hizi smart phone sometimes zinazingua.
Pale kwenye feedback nadhani ulimaanisha playback. ..
Sasa huyu mwanaume jina ndicho anachocheka!
Aibu sana kwa mwanaume anayevaa suruali kufanya mambo ya kipuuzi namna hii!
Ujinga ni upi hapo? Nisicheke kama kitu kimenifurahisha? Cna family am stl vry young ... smartphone iandike feedback badala ya playback kuanzia lini labda hujui words predictions hw it work kwenye keyboard naww.
Kwenda zako huko na wewe, mpuuzi fulani tu...
Hata hivyo sina muda wa kupoteza kuargue na wewe...
Nina mengi ya kufanya.
Jionee utofauti...
Wakati King Kiba anafanya live music namna hii
Mwingine anafanya 'Live......' namna hii
Ni aibu kwa mtu anayejitambua kumshabikia mhuni kama huyu.
Ninyi ndio mtakaommaliza Kiba kabisa, anaposoma comment kama hz likichwa linavimba anajiona yupo juu,
hakuna kitu kizuri kama kumpasulia mtu ukweli kuliko kumpa sifa za marehemu,
Kiba yuko vizuri ana talent ila ni bonge la mjeuri na mvivu wa kufa mtu... usisikie ya kuambiwa tafuta ukweli wake....yaani akiacha ujeuri na kuongeza bidii na ubunifu atakua moto wa kuotea mbali.
Ila kwa sasa Diamond Platinum yuko juu sana kwa Kiba,,, the boy has what it takes to be an International star!
lazima muelewe juhudi, kujituma na ubunifu ndio silaha ya kufanikiwa popote
Narudia tena kuweni wakweli ili mumbadilishe Kiba acheni kumsifia ujinga...kwa kufanya hivi mtaendelea kumfanya awe maarufu Tz na kwenye KTMA wakati huku sio ishu tena kwa mtu kama Ali na Nasibu ishu ni nje ya mipaka, huko hakuna mizengwe kama yetu hapa bongo
Angalieni ktk tuzo za MTV za juzi, hakuna fitna pale... na kila alieshiriki na kukosa au kupata tuzo kaondoka amerizika...no longolongo wala sijui teams...
ni uwezo halisi na ubunifu tu.
Kusanda kwa kitu gani hasa? Wewe una kitu gani cha kuogopwa?
Hehehehee...you are too low to argue with me ndio maana nimekupotezea tu mburula wewe.
Haya niko hapa sasa....naanzaje kuwapa salamu watu wangu wenye hadhi zao kutoka kwa popoma kama wewe?
Salamu wape hao vidampa wenzio sio kwa watu wenye hadhi walionizunguka.