Hivi ile hazina ya dhahabu iliyonunuliwa na BOT miaka ya mwishoni mwa miaka ya 80 na mwanzoni mwa 90 ilienda wapi ? kuna muda Gavana Ndulu alidai siku hizi wanaweka akiba kwa Dola/Euro ambao ni wendawazimu ukiona bei ya dhahabu inavyopanda kila kukicha.