Alhad Salum alia na Mwamposa kuwaombea wanawake wa kiislamu, awataka mashehe waanzishe vilinge vya dua kuwaponya wanawake!

Watu waelewe kitu kimoja,,,,,Uislamu umesimamia katika kumwabudu Mungu Mmoja WA haki,ambaye Hana mwana wala Baba wala roho mtakatifu,mambo hayo katika Uislamu shirki kubwa Sana na ni dhambi ya Kwanza Kwa Mwenyezi Mungu.

Kwahiyo hakuna Muislamu ambaye analijua hili na kwenda kuombewa Kwa Jina la Yesu...kwani kufanya hivyo ni kumfanya kiumbe cha Mungu kuwa Mungu kitu ambacho si kweli,ni ngumu kusikia lakni ndio ukweli wenyewe.
Hatuombei kwa jina la Yesu, ila tumswalie Mtume SAW au sio maalim!?
 
Aliye kufa na kufufuka ni mmoja tu..tofauti na hapo wengine ni misukule..karibu ukanyage ma futa na ule keki ya upako.

#MaendeleoHayanaChama
Bado mnasubiria mwanzilishi wenu pale england afufuke, wendawazimu wakubwa!! 😂😂😂😂Kaimbeni ila kashakufa
 
Mwenyezi Mungu alikuwepo

Jibu ni hivi Qur'an yote ilishuka kipindi cha Muhammad,,,,,ilikuja kuandikwa ili ihifadhiwe Kwa maandishi.

Mwenyezi Mungu alikuwepo kabla ya Ulimwengu,,,,,na kupitia Qur'an kakumbusha tena kuwa "Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu"

Kwahiyo huo ushahidi unatosha ingawa unataka kunitoa kwenye reli,,,, kwangu Mimi maadam Mola wangu kasema hivyo basi inatosha kabisa.

Maswali yangu mbona hujibu mkuu?
Najua huna jibu kwasababu ukristo huwa hauna majibu siku zote,,,,ndio maana wanao jielewa husoma Uislamu na kusilimu.

Nimefurahi kujadiliana na wewe,nakiri Kwa dhati kabisa wewe hii mijadala ya kidini unaiweza kwakuwa hauna jazba na unatumia mantiki zaidi.

Kuna watu humu wamenikoti sitawajibu kama jiwe angavu kwakuwa nawajua huwa ni wapuuzi na hukurupuka Tu Kwa jazba,,,,watu kama hao sitapoteza Mda wangu kudili nao.

Much respect kwako Amanitwin
Huwezi ukajibu hoja zangu..mana wewe uwezo wako wa kufikiri ni mdogo..na umefungwa na tamaduni za kiarabu kupia uislam.

Siku ukitoka kwenye hicho kifungo cha fikra myb utakuwa na uwezo wa kujibu hoja.

Kwasasa unaalikwe ukakanyage mafuta na ule keki ya upako.

#MaendeleoHayanaChama
 
Zinatakiwa taasisi nyingi za binafsi na serikali za kuwahudumia hao watoto kina mama
Watu wanafikiri nchi zingine zina ahuena kwa uchumi wao la hasha
Bali wananchi wanajisaidia sana kwa kuchanga na kuwa na miradi mingi ya kuwasaidia

Kwa mfano Charities zingeanzishwa nyingi
Ukitaka nchi iende..piga vita hizi imani za kidini zote...mana zinaua uwezo wa kufikiri.

Tuwe kama china au free world kama usa.

#MaendeleoHayanaChama
 
Anajua wito wake ndio maana hahangiiki

Kuna wengine hawajui wito wao ndio maana .Yesu aliwatuma wakamhubiri Yesu wao kusimama madhabahuni kuhubiri Mwamposya!!!! Utafikiri Mungu aliwatuma kuwa nendeni mkamhubiri Mwampsya!!

Huyo Mwamposya ndio kiongozi wangu nasali kwake mimi

Ukiona watu wanajaa vile pana kitu wanapokea .Wasomi wamejaa pale wenye hela zao na mali zao Hakuna kanisa inajaa watu wenye magari mengi ya uhakika kama kwa Mwamposya kuonyesha wazi wao sio wajinga

Vilinge vya mashehe vipo Kibao lakini huko hawapati ufumbuzi ndio maana huenda kwa Mwamposya.Kungekuwa na ufumbuzi huko wasingeenda

Hata kwa baadhi ya Wakristo kuna shida mtu anakuwa na Tatizo lake kwenye dini yake alipo hapati ufumbuzi akienda kwa Mwamposya anapata ufumbuzi sio tu anawaambia wengine lakini wanaomjua mtaani kwake wanaona kweli mwenzetu shida yake imeisha.Ndio maana unakuta makundi makubwa anainuka kwenda hayajali cha dini yao wala nini

Tatizo huwa na nguvu kuliko dini lisipopata ufumbuzi

Mwamposya ana ufumbuzi wa matatizo kitiu ambacho baadhi ya viongozi wa dini hawana wanachujua wao kutwa ni kugeuza misikiti au makanisa madarasa tu ya kufundisha Biblia au Kurani na kukusanya sadaka
Kwa hiyo kuwepo kwa magari mengi ya uhakika maana yake ndiyo inaonyesha kuna kanisa/Mchungaji wa ukweli?
 
Mwamposa anaupiga mwingi SANA.
Walianza hawa
Kakobe
Lusekelo
Mwingira
Sasa ni zama za
Mwamposa
Kuhani Mussa sijui
Mwisho wa siku ni KUMUOMBA MUNGU VIFO VITUFIKIE MAHALA SAHIHI
 
Huenda unatatizo la uelewa mkuu.....Uislamu sio Muhammad na haujaketwa na Muhammad

Uislamu ni kunyenyekea Kwa Mwenyezi Mungu Mmoja Tu,,,,huo ndio Uislamu,,,,,je Ibrahim alikuwa anamwabudu Nani? Nuhu alikuwa anamwabudu Nani?
Uislamu ni pamoja na kujitoa muhanga na kuchinja watu kama wanavyofanya Alshabab, Alqaida,Boko Haram,ISIS
 
Mimi Sina tatizo na uislamu ila waislamu wengi wana unafiki Sana naishi nao muda mwingi sana..

Kuna mtu mmoja akanijibu eti pale kwa mwamposa hakuna muislamu anayeenda hata mmoja wale ni mamluki tu Wala siyo waislamu.Muislamu halali hathubutu kukanyaga kanisani maana ni haram,nikaamua kumpotezea badala ya kubishana

Huyu shehe ndy ameona mbali na ameukubali ukweli kwamba Kuna wamama wengi Sana wa kiislamu wanaenda kwa mwamposa so tyr Kuna tatzo na wao Kama viongozi wa kiislamu na waislamu wote wanapaswa kulitatua..Hizi Mambo za kila linapotokea Jambo wasilolipenda wanasingizia hao siyo' waislamu halitawasaidia hata kidogo'

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Kikubwa wanawake wanaamini sana katika ushirikina na ndomana wanaenda kwa mwamposa
 
Nyumba nilikuwa napanga Happ kimar kibo Ni nyumba ya muislamu kulitokea changamoto wa bint ake kurukwa na akili wakt bint anajianda kwenda ujerumani bas wakapamban San mpk kwa shehe wakambiwa wapeleke mbuz mweus na Kia's Cha laki na 140 wakafanya hvyo ila bint hakupa hata nafuu yoyote bas wakaenda kwa mwamposa yey alitoa sadka ya elf moja tu bint akwa mzima kbsa mpka leo yule mam na wanae hawajaacha kwenda kwa mwamposa na mzee wake yey ndio kwanza anahimiza wawai wasikoze siti uwaambi kitu juu ya mwamposa,mzee yey Bado anaenda msikiti ila watot na mam yako wote kwa mwamposa Tena kwa kupewa nauli na sadka na mzee aise mwamposa Ni balal lingine

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Anaogopa tu kwenda mbele pale..ila kila siku yupo kwenye tv na redio anasikiliza mafundisho ya arise and shine.

Mafuta ya upako na keki naletewe na waumini wake anao waagiza wamchukulie.

Hakika kila goti litapigwa mbele ya Kristo.

#MaendeleoHayanaChama
Sawa kabisa nakuamini,maana kajuaje Kama wamama wa kiislamu wanaponywa kwa Mwamposa.
 
Nyumba nilikuwa napanga Happ kimar kibo Ni nyumba ya muislamu kulitokea changamoto wa bint ake kurukwa na akili wakt bint anajianda kwenda ujerumani bas wakapamban San mpk kwa shehe wakambiwa wapeleke mbuz mweus na Kia's Cha laki na 140 wakafanya hvyo ila bint hakupa hata nafuu yoyote bas wakaenda kwa mwamposa yey alitoa sadka ya elf moja tu bint akwa mzima kbsa mpka leo yule mam na wanae hawajaacha kwenda kwa mwamposa na mzee wake yey ndio kwanza anahimiza wawai wasikoze siti uwaambi kitu juu ya mwamposa,mzee yey Bado anaenda msikiti ila watot na mam yako wote kwa mwamposa Tena kwa kupewa nauli na sadka na mzee aise mwamposa Ni balal lingine

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Amina kubwa.
 
Wafia dini naona mnatoleana povu,mbona haya mambo ya kawaida sana jamani labda hamjapatwa na matatizo,unapopatwa na matatizo huwezi kuchagua chaka popote pale unaingia hili mradi upate amani ya moyo..sasa nyie mnatoleana povu humu wakati wenzenu wanaojua siri za maisha kama huyu bwana Daudi hapa chini hawajali wala nini na ndio maana wanatoboa maisha,maskini mnaendelea kuwa nyie wafia diniView attachment 2358407
Ila Daudi!🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimemiss drama zake
 
Ukitaka nchi iende..piga vita hizi imani za kidini zote...mana zinaua uwezo wa kufikiri.

Tuwe kama china au free world kama usa.

#MaendeleoHayanaChama
Dini imegeuzwa miradi na hakuna faida wanayopata wa chini bali wanazidi kuwa masikini wa kutupwa kwa Imani dhaifu

Ni wa kuchapwa viboko kwa kweli
 
Back
Top Bottom