kimatire
JF-Expert Member
- Nov 27, 2008
- 371
- 93
Alexander Ndeki (Mzungu) wengi wetu tuliofanikiwa kuwa TS kipindi chake (1978 - 1986) tunamkumbuka huyu baba kwa mengi aliyotutendea hadi leo tukaitwa wana wa nchi.Basi tusimame wote japo kwa dakika moja tu tumkumbuke!!!Masaburi Upo?Neva Mkadala Je?Makongoro uko wapi?Daudi Salum, kina Ndalichako,Nshushu,Masista duu na wana Warsaw wote njooni basi kwa sala ya kumkumbuka shujaa wetu.