Mwawado
JF-Expert Member
- Nov 2, 2006
- 993
- 252
kwa kweli nimekumbuka mbali jamani longer wapi siku hizi na ndgugu yetu mkingule nasikia ni kanali wa jeshi makao makuu, longer yuko nmb dsm, maskini thomas ndulute alifariki kama miaka mitatu iliyopit ,nimecheka sana kuhusu hassan musa alianza ufisadi na mwalimu wa usafiri kutulangua tiketi za train na alikuwa analeta chachacha toka kigoma, jamani kama kuna mwenye mawasiliano na koplo wetu mashaka ndonde aziweke hewani contact zake msimsahau mwalimu kimalamashwi yuko wapi jamani
Ndugu yangu Talumba Mkiwa: Leo umenipa ripoti inayonisikitisha sana kwamba nae Ndulute alifariki dunia..namfahamu vyema jamaa nae alikuwa ni mmoja wa Viongozi wetu enzi zile za TS.Kuna mtu hapo awali amezungumzia Snake House.....Mimi nakumbuka Ghatundu.Hivi kuna mtu humu anajua maana haswa ya Ghatundu?Ilikuwa ukiingizwa mule kwenye kikao cha nidhamu unaona cha moto! Mwenyezi Mungu ampumzishe pema peponi Mzungu,Tutamkumbuka daima!