MWENDAKULIMA
JF-Expert Member
- Jul 17, 2009
- 952
- 354
Nashukuru sana mdau, kwa kweli me kosa langu lilikua ni kuwaamini hawa jamaa na pia nimeshafanya biashara mara nyngi tu hapo Mlimani City na sijawahi pata hii zarau na deals zote zilikuwa znaclose pia normally huwa naku na company ila jna niliku mwenyewe tu,naamini kabisa ktk yote ya uzembe,ujinga etc lakini lengo langu ni kujulisha wadau wengine na kuwapa tahadhari wasije fanya mistake kama hii yangu. Kiongozi ningependa kukujuza kwamba Wanaokosea si wote hawana akili ndo maana nikaleta hpa jamvini kwa ajili ya kukosolewa,kusaidiwa,kuelekezwa,na si kutusiwa ya nguoni,I wonder why other people don't understand my courage an desire to help others not be trapped foolishly like this. Thanks for your disappointment character though!!
Pole sana mkuu.Wapuuze watu wanojiona wanajua kila kitu dunia hii.Infact ulijitahidi kuwa suspicious mpaka kufikia kucheck number ya gari.Binafsi nisingeweza kufikiria kitu kama hicho.Unajua kama mtu hauna mentality ya uhalifu au haujawahi kusikia/kutokewa na matukio ya uhalifu wa aina hiyo inakuwa vigumu kuamini kwamba mtu mwingine anaweza kukufanyia uhalifu kwa hiyo utajikuta unamuamini mtu kwa muda mfupi tu mliofahamiana.Pole sana mkuu