View attachment 57480
Al-Shabab militants display the bodies of dozens of kenyan troops in Somalia that were killed in a firefight this week.
Wakenya wamejitakia wenyewe kwa kufuata maelekezo ya mabeberu (marekani na washirika wake). wakenya walikuwa wanaishi vizuri na majirani hao(Somalia) pamoja na kuwa na vita kwa takriban miongo miwili,hii imetokana na kutafuta sifa toka kwa mabeberu hao, sasa kujinasua hawataweza tena. kazi kwao.
All in the name of MIGHTY ALLAH......what kind of GOD is this anyway?
View attachment 57480
Al-Shabab militants display the bodies of dozens of kenyan troops in Somalia that were killed in a firefight this week.
Hao ndio Al Shabab (vijana), halafu silaha zote wameshachukuwa.
Tuliwaambia Wakenya, wanasiasa wamewaingiza mkenge kwa kuhongwa. Nasema na bado, tutaona mengi, walishindwa USA mtaweza nyinyi? mnakwenda kuuawa huko kama kuku. Walikuwa wameshalewa hao wamelala walipouawa.