Al Ahly FC itawauliza swali gumu Simba SC kwa nini ilikaa airport badala ya kufanya usajili?

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Oct 6, 2016
10,403
13,017
Mawinga wa Al Ahly wa kushoto na kulia watawauliza maswali magumu sana Shomari kapombe na Zimbwe Jr.

Fabrice Ngoma na Muzamiru (kiungo Punda) watakua na kazi kubwa na ndiyo uchochoro utakao tumika katika kupenyeza mipira kwenda golini.

Beki mpenda sifa mkata mauno (Inonga) kesho atasusa na sifa zitamponza na kusababisha Ukuta wa Yericko kubomolewa mapema tu.

Simba SC ina kikosi dhaifu (Cha unga unga mwana) kikosi hiki kitakua fundisho, kipindi kingine viongozi wa Simba/kamati ya usajili isilete maigizo ya kukaa airport na kusubiri wachezaji wenye injury na kuwaiba Kama alivyosema msemaji wa Simba sc Ahmedy Ally kuwa "tumemuiba namba sita wao"

Simba SC ichukulie mchezo wa kesho ni mchezo wa kujifunza tu na siyo kutanua kifua kuwa wanashindana na Al ahly wakati Wana kikosi cha unga unga mwana.

Tukutane kwa Mkapa.
 
Mawinga wa Al ahly wa kushoto na kulia watawauliza maswali magumu sana Shomari kapombe na Zimbwe Jr.

Fabrice Ngoma na Muzamiru (kiungo Punda) watakua na kazi kubwa na ndiyo uchochoro utakao tumika katika kupenyeza mipira kwenda golini.

Beki mpenda sifa mkata mauno (inonga) kesho atasusa na sifa zitamponza na kusababisha Ukuta wa Yericko kubomolewa mapema tu.

Simba sc Ina kikosi dhaifu (Cha unga unga mwana) kikosi hiki kitakua fundisho, kipindi kingine viongozi wa Simba/kamati ya usajili isilete maigizo ya kukàa airport na kusubiri wachezaji wenye injury na kuwaiba Kama alivyosema msemaji wa Simba sc Ahmedy Ally kuwa "tumemuiba namba sita wao"

Simba sc ichukulie mchezo wa kesho NI mchezo wa kujifunza tu na siyo kutanua kifua kuwa wanashindana na Al ahly wakati Wana kikosi Cha unga unga mwana.

Tukutane kwa mkapa.
Unyama mwingi
 
Mawinga wa Al ahly wa kushoto na kulia watawauliza maswali magumu sana Shomari kapombe na Zimbwe Jr.

Fabrice Ngoma na Muzamiru (kiungo Punda) watakua na kazi kubwa na ndiyo uchochoro utakao tumika katika kupenyeza mipira kwenda golini.

Beki mpenda sifa mkata mauno (inonga) kesho atasusa na sifa zitamponza na kusababisha Ukuta wa Yericko kubomolewa mapema tu.

Simba sc Ina kikosi dhaifu (Cha unga unga mwana) kikosi hiki kitakua fundisho, kipindi kingine viongozi wa Simba/kamati ya usajili isilete maigizo ya kukàa airport na kusubiri wachezaji wenye injury na kuwaiba Kama alivyosema msemaji wa Simba sc Ahmedy Ally kuwa "tumemuiba namba sita wao"

Simba sc ichukulie mchezo wa kesho NI mchezo wa kujifunza tu na siyo kutanua kifua kuwa wanashindana na Al ahly wakati Wana kikosi Cha unga unga mwana.

Tukutane kwa mkapa.
mara ulalamike wanachuo wa kike wa DODOMA MEDIA COLLEGE wanaishi Hostel moja na vijana wa kiume,mara leo urukie kwa Waarabu,si wapelekee hao Waarabu kalio hizo wazishughulikie maana zinakuwashawasha sana
 
mara ulalamike wanachuo wa kike wa DODOMA MEDIA COLLEGE wanaishi Hostel moja na vijana wa kiume,mara leo urukie kwa Waarabu,si wapelekee hao Waarabu kalio hizo wazishughulikie maana zinakuwashawasha sana
HUNA AKILI NA HUNA MARINDA.
 
Mawinga wa Al ahly wa kushoto na kulia watawauliza maswali magumu sana Shomari kapombe na Zimbwe Jr.

Fabrice Ngoma na Muzamiru (kiungo Punda) watakua na kazi kubwa na ndiyo uchochoro utakao tumika katika kupenyeza mipira kwenda golini.

Beki mpenda sifa mkata mauno (inonga) kesho atasusa na sifa zitamponza na kusababisha Ukuta wa Yericko kubomolewa mapema tu.

Simba sc Ina kikosi dhaifu (Cha unga unga mwana) kikosi hiki kitakua fundisho, kipindi kingine viongozi wa Simba/kamati ya usajili isilete maigizo ya kukàa airport na kusubiri wachezaji wenye injury na kuwaiba Kama alivyosema msemaji wa Simba sc Ahmedy Ally kuwa "tumemuiba namba sita wao"

Simba sc ichukulie mchezo wa kesho NI mchezo wa kujifunza tu na siyo kutanua kifua kuwa wanashindana na Al ahly wakati Wana kikosi Cha unga unga mwana.

Tukutane kwa mkapa.
Hakika MACHOKO hamtaisha Nchi hii
 
Semeni kabisa zimebaki ngapi jamani? (Threads)
Kila nikirefresh nakutana na mpya! Lol

Leo tumejua kukichafua, bado kesho sasa…
Mbona mnafanya tuzidi tu kutrend, mnadhani kulikashifu pilau la jirani ndiyo mtamfanya jirani asile pilau yake akashiba? Pilau italiwa tu. Lol

Ova
 
Mleta uzi huu
FB_IMG_1697705818872.jpg
 
Mbona mnafanya tuzidi tu kutrend, mnadhani kulikashifu pilau la jirani ndiyo mtamfanya jirani asile pilau yake akashiba? Pilau italiwa tu. Lol

Ova
Kula atakula ila kwa uchungu, amani ndio kitu tunafanya akose.

Ni violence mwanzo mwisho, ombeni hata mpate sare tu, mkichakazwa mmekwisha.
 
Mawinga wa Al ahly wa kushoto na kulia watawauliza maswali magumu sana Shomari kapombe na Zimbwe Jr.

Fabrice Ngoma na Muzamiru (kiungo Punda) watakua na kazi kubwa na ndiyo uchochoro utakao tumika katika kupenyeza mipira kwenda golini.

Beki mpenda sifa mkata mauno (inonga) kesho atasusa na sifa zitamponza na kusababisha Ukuta wa Yericko kubomolewa mapema tu.

Simba sc Ina kikosi dhaifu (Cha unga unga mwana) kikosi hiki kitakua fundisho, kipindi kingine viongozi wa Simba/kamati ya usajili isilete maigizo ya kukàa airport na kusubiri wachezaji wenye injury na kuwaiba Kama alivyosema msemaji wa Simba sc Ahmedy Ally kuwa "tumemuiba namba sita wao"

Simba sc ichukulie mchezo wa kesho NI mchezo wa kujifunza tu na siyo kutanua kifua kuwa wanashindana na Al ahly wakati Wana kikosi Cha unga unga mwana.

Tukutane kwa mkapa.
Ramli za kijinga zinazoaminiwa na wajinga tu wa Tz.
 
Back
Top Bottom