Panga La Shaba
JF-Expert Member
- Dec 24, 2009
- 209
- 68
Yule Mjalauo aliyekuwa na wake zaidi ya 100 na watoto zaidi ya 300 nchini Kenya amezikwa baada ya miezi miwili ya kusuburi wanandugu wafike.Jina lake ni Ancentus Akuku lakini alikuwa najulika zaidi kwa jina la Akuku Danger,kwa kuwa alikuwa na kipaji kikubwa cha kutongoza....alikuwa akimpa sera mwanamke akatai,anamalizana naye siku hiyo hiyo.........Jamani wajaluo alioko hapa jamvini hii tabia ya kuwa na wake wengi kwanini bado mnaitukuza atakwenye karne hii ya 21...??????????
Ila na msifu Akuku Danger kwa kuweza kuwarithisha wanawake wote hao...maana si mzecho....
From BBC
"I'm called Danger because I defeated so many men," he says. "I was very handsome and so I could get many wives. "
Ila na msifu Akuku Danger kwa kuweza kuwarithisha wanawake wote hao...maana si mzecho....
From BBC
"I'm called Danger because I defeated so many men," he says. "I was very handsome and so I could get many wives. "