Ni kwa vile hatuna ubunifu huyu angeweza kutumika kutengeneza matangazo mbali mbali na inawezekana akawa ni mrefu kuliko watanganyika wote. Tumgemshindanisha kidunia. Ni vema John amuone na kumsaidiaNamsikitikia maana hata kama ana uwezo ila 'Bombadier' ataziskilizia kwenye bomba
Naona dawa imekuingia panapostahili,ndio maana umeamua kutoa povu kama umebugia Omo, mimi na wewe ni nani aliyewaza kua dushe la huyo Baraka? Unashindwa hata kuchukua dakika moja ya kujitafakari? Mpaka hapo utakua umeshajijibu wewe mwenyewe kua huo mtandao wa TIGO ni wewe au mimi?Unamsujudia sana huyo Trump eti! yaani umeona kila hoja aliyosema ina mashiko, pole sana. mtandao wa TIGO hivi uko dunia nzima au?
labda chakulogewahahahahaaaa!!! vichaa JF ndio kwenyewe hahahaaa!!!!
Mke alishakimbia mapigoKaongozana na nkewe?
SawaUnaijua maana halisi ya neno dharau mkuu? Utakua umeitafsiri kauli yangu tofauti. Sijasema kwa nia mbaya
Naona dawa imekuingia panapostahili,ndio maana umeamua kutoa povu kama umebugia Omo, mimi na wewe ni nani aliyewaza kua dushe la huyo Baraka? Unashindwa hata kuchukua dakika moja ya kujitafakari? Mpaka hapo utakua umeshajijibu wewe mwenyewe kua huo mtandao wa TIGO ni wewe au mimi?
Wapi nimesema kila hoja ya Trump ina mashiko? Badala ya kuchangia maoni jinsi ya kumsaidia huyo tall kupata matibabu wewe unawaza dushe lake litakua na ukubwa gani? Hivi hujishitukii japo kidogo tu? Au wewe ndio kina hamnazo?
Eti Dume zima unauliza hiyo "dude" ya Baraka sijui na yenyewe itakua ndefu kama yeye?" Khaa! Huoni haya wewe? Au ndio wale wale? Haya nenda kamtafute huyo tall na ukikuta "dude" yake ndefu utuletee mrejesho humu coz una hamu ya kujua size hiyo kitu!YAELEKEA UNA WASHWA KUGOMBANA HUMU JF, HEBU MTAFUTE MANGE KIMAMBI NDIYE MNAWEZA KUMATCH