Unajifanya kumtolea mfano mwanamke wa kaka yako kumbe unajimaanisha wewe mwenyewe...lolhii ni sawa kabisa.......
kuna siku kakangu aliwahi kusema kuwa mwanamke wake akimwambia fulani kanitongoza atajua huyo ndo aliyemkataa......
akimkubali hawezi kukuambia.
Mkuu nunua na wewe line zingine za simu kama tatu uwe unajitumia msg za kujitongozesha alafu unamfowadia unamwambia kuna vischana vinajigonga kwangu...!*Wadau wa JF, MMU, naomba mnipe mwongozo kwa hili la mpenzi wangu.
*Kuna mambo mawili yamejitokeza hv karibuni:
* kwanza, juzi alinipigia simu[hatuko mkoa mmoja, anasoma] na katika maongezi akasema kuwa X-boy wake kampigia simu nanukuu.."eti kanipigia simu, nikamuuliza leo umekumbuka nini?....akaniambia eti anakuja huku[alipo huyu demu] mm nikamwambia nasafiri, sitakuwepo"
*Pili, jana kaniambia "mpenzi kuna sms zinachekesha...ngoja nikuforwadie...sms 1 ilisomeka "nakuhitaji"....sms 2 ipo hv.."leo umependezaa, nataka nije kwako"..hz sms anadai katumiwa na mshikaji anayeonyesha kumtaka kimapenzi
*Hapa najiuliza ana maana gani kwa haya?
#Naombeni mniambie, na kufafanua haya.
Asanteni sana
kwa nini nifanye hivyo?Unajifanya kumtolea mfano mwanamke wa kaka yako kumbe unajimaanisha wewe mwenyewe...lol
mimi ,26, yeye, 23
Mkuu nunua na wewe line zingine za simu kama tatu uwe unajitumia msg za kujitongozesha alafu unamfowadia unamwambia kuna vischana vinajigonga kwangu...!
Videm vya siku hizi vina tabia ya kuonyesha kwa wanaume zao kuwa vinapapatikiwa huko nje, kama njia ya kumdanganya jamaa kuwa amechaguliwa kutoka kundi la wengi wenye interests na kwamba akimess up mwingine anachukua nafasi. So ili kumuonyesha kwamba usanii na sisi tunaujua, akisema anatakwa na wawili wewe unamuonyesha unatakwa na 10...Hapa lengo nini mkuu?
Babu DC!!
Sikujua kama Paw ni jalala kiasi hicho...lol!!
Siku moja nitasimulia version yetu sie wastaafu...
Babu DC!!
Hata zle zangu huwa unamwonesha my comrade Paw?
mimi ,26, yeye, 23
Kwa mm nijuavyo, sisi wasichana tuna katabia flani hivi( hata baadhi ya wanaume wanako pia). Utakuta mtu anamwoshe boyfriend au mume wake msg za watu wanaomtongoza au kumsimulia kuhusu watu wanaomtongoza....hii inamaanisha anataka kukuonyesha kuwa "kuna wengi ambao wanampenda na kumtamani" Indirectly this sounds like "you need to love me more kwasabu kuna wenzio wanaotamani kuwa nami" na hata anavyokwambia kuhusu X-boyfriend wake anajaribu kukuonyesha kuwa"hata alioachana nae bado wanampenda" So what am trying to say is, vitu anavyokuonyesha huyo msichana vinaweza pia kuangaliwa in a positive side as a sign of LOVE.
*Wadau wa JF, MMU, naomba mnipe mwongozo kwa hili la mpenzi wangu.
*Kuna mambo mawili yamejitokeza hv karibuni:
* kwanza, juzi alinipigia simu[hatuko mkoa mmoja, anasoma] na katika maongezi akasema kuwa X-boy wake kampigia simu nanukuu.."eti kanipigia simu, nikamuuliza leo umekumbuka nini?....akaniambia eti anakuja huku[alipo huyu demu] mm nikamwambia nasafiri, sitakuwepo"
*Pili, jana kaniambia "mpenzi kuna sms zinachekesha...ngoja nikuforwadie...sms 1 ilisomeka "nakuhitaji"....sms 2 ipo hv.."leo umependezaa, nataka nije kwako"..hz sms anadai katumiwa na mshikaji anayeonyesha kumtaka kimapenzi
*Hapa najiuliza ana maana gani kwa haya?
#Naombeni mniambie, na kufafanua haya.
Asanteni sana
Afu niko serious ujue? Hivi napaswa nisimuambie eeh? Mie bwana i was and still is a very innocent kid. Hata wakati niko praimare nikitongozwa naenda kusema kwa mama.
Lets talk seriously abt this. Ukiona simu ama sms ya ex wa mwenza wako utajisikiaje?