Akina mama/dada muogopeni muumba jamani

Mmh nyie wanawake nyie mbona kama vile sasa mnamtetea huyo dada? Nieleweni jamani, mimi simhitajiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.

Haya maneno mwambie sasa tena kwa ukakamavu....sio yanaishia hapa jamvini!!
 
Haya maneno mwambie sasa tena kwa ukakamavu....sio yanaishia hapa jamvini!!
I promise kuwapa feedback nitakapokuwa nimemwambia, kweli I promise to do so.....ngoja nisubirie text yake maana amesema atanitumia sms ya salam leo japo nachelewa kumjibu.....
 
I promise kuwapa feedback nitakapokuwa nimemwambia, kweli I promise to do so.....ngoja nisubirie text yake maana amesema atanitumia sms ya salam leo japo nachelewa kumjibu.....
Umsubirie ya kazi gani...mshangaze kwa kuanza wewe.
Baada ya salam mjulishe kwamba humtaki wala humhitaji tena maishani mwako!Mwambie unae mwenza unaempenda na kumheshimu hivyo huna nafasi kwaajili yake...kama yeye haheahimu ndoa yake wewe unaheshimu!!Ukimwendekeza utakuja kulia wewe!
 
Umsubirie ya kazi gani...mshangaze kwa kuanza wewe.
Baada ya salam mjulishe kwamba humtaki wala humhitaji tena maishani mwako!Mwambie unae mwenza unaempenda na kumheshimu hivyo huna nafasi kwaajili yake...kama yeye haheahimu ndoa yake wewe unaheshimu!!Ukimwendekeza utakuja kulia wewe!
Kweli naongea toka moyoni mwangu, this idea is great, ni hakika nitashinda, Lizzy, thank you, you are among the few wonderful Advisors.....ila kuna mtu kan-PM anasema eti ni kwasababu wanawake wanachukiana, nimemjibu kuwa mimi hayo sitayazingatia lia nitazingatia hawa akina dada walichosema. Be blessed Mummy
 
Hahhaha!Maakini Elli wa watu anadai eti kila anachosema tunaona maana zaidi ya moja!!Tunamuonea ehhhh???

Elli tusipofanya hivyo na sisi tutakua tunakuendekeza kama we unavyomuendekeza mdada wakati hatutaki uanguke kusiko!!!
tuko pamoja,na hivi Elli hana hasira basi tutakwenda nae hadi atakapoona umuhimu wa kutojibu hizo msg!!
 
Kweli naongea toka moyoni mwangu, this idea is great, ni hakika nitashinda, Lizzy, thank you, you are among the few wonderful Advisors.....ila kuna mtu kan-PM anasema eti ni kwasababu wanawake wanachukiana, nimemjibu kuwa mimi hayo sitayazingatia lia nitazingatia hawa akina dada walichosema. Be blessed Mummy

Hahhahha....eti wanawake tunachukiana!!Basi tungekushauri umkubalie ili kumkomoa mkeo!!Nwy changanya na zako na ufanye kile kilichosahihi!!!
 
Nami nimeliona hilo, si suala la wanawake wote,kwa wenye hizo tabia waache.....!!! Halafu ishu nyingine si ngumu hivyo kuzi- handle dearest,sijui kwanini watu wana complicate issues? mtu humtaki,unajibu sms zake au kupokea simu zake za nini????:confused2:

haaaaaaapo chacha. Ila hata wanaume nao ndo wanachangia kuendelea kwa haya mambo bana. manake ni ishu ya kumkataza kutowasiliana na wewe. ukimjibu, akikumis cal ukipiga hahahahah ni kama unachochea moto.

heshima haiizi jamani. Nadhani watu wanapaswa tu kuheshimu ndoa zao na za watu wengine.
 
Hahhahha....eti wanawake tunachukiana!!Basi tungekushauri umkubalie ili kumkomoa mkeo!!Nwy changanya na zako na ufanye kile kilichosahihi!!!
Yaani sijawahi kufikiria kuwa JF kuna Great Dadaz like you.......you have changed my whole life style. Real
 
Kweli naongea toka moyoni mwangu, this idea is great, ni hakika nitashinda, Lizzy, thank you, you are among the few wonderful Advisors.....ila kuna mtu kan-PM anasema eti ni kwasababu wanawake wanachukiana, nimemjibu kuwa mimi hayo sitayazingatia lia nitazingatia hawa akina dada walichosema. Be blessed Mummy

Huyo aliyeku PM ni mpumbavu tu, sisi tunakushauri ukate mawasiliano na mwanamke anayekusumbua yeye anasema sisi hatupendani??hivi mimi niwachukie wanawake nisiowajua na wewe mwenyewe sikujui ili inifaidie nini? Na uzingatie ushauri wetu, uzidi kufurahia maisha yako.
 
Hahhahha....eti wanawake tunachukiana!!Basi tungekushauri umkubalie ili kumkomoa mkeo!!Nwy changanya na zako na ufanye kile kilichosahihi!!!
Jamani nimeshachangaanya na zangu au hukuelewa hicho nilichoandika??
 
...umenikumbusha mbali sana. Uchungu!...
Pole saana Mpwa, pole, usilie tena inatosha, the past is gone because there is no future in the past, so do not weep brother, it has sharpened you to be who yuo are today! When others say give up, hope whispers silently...give it another try! So give pleasure another try........
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Huyo aliyeku PM ni mpumbavu tu, sisi tunakushauri ukate mawasiliano na mwanamke anayekusumbua yeye anasema sisi hatupendani??hivi mimi niwachukie wanawake nisiowajua na wewe mwenyewe sikujui ili inifaidie nini? Na uzingatie ushauri wetu, uzidi kufurahia maisha yako.

Hapo sasa...
 
Huyo aliyeku PM ni mpumbavu tu, sisi tunakushauri ukate mawasiliano na mwanamke anayekusumbua yeye anasema sisi hatupendani??hivi mimi niwachukie wanawake nisiowajua na wewe mwenyewe sikujui ili inifaidie nini? Na uzingatie ushauri wetu, uzidi kufurahia maisha yako.
asante sana ila tusimuite mpumbavu......tumuache kama alivyo
 
Yani kama wewe mwanaume kweli, uwe na kifua cha kumwambia huyo mwanamke hili jambo. kuwa aache kukufuata fuata na kuwa mambo yenu ni historia kwa sasa.
Lakini kama unalalamika hapa na bado unawasiliana nae pia kuchat na uwe na nia ya kukutana nae basi ni kama vile unajaza maji kwenye gunia.
Be a man!!
 
Yani kama wewe mwanaume kweli, uwe na kifua cha kumwambia huyo mwanamke hili jambo. kuwa aache kukufuata fuata na kuwa mambo yenu ni historia kwa sasa.
Lakini kama unalalamika hapa na bado unawasiliana nae pia kuchat na uwe na nia ya kukutana nae basi ni kama vile unajaza maji kwenye gunia.
Be a man!!
Duh, mpwa..mwanaume kweli anapimwaje? Nimeshapromise kuwa nitafanya hivyo, kwani kuomba mawazo ni vibaya au mlitaka nije na ile style iliyozoeleka hapa JF kua kuna mtu/rafiki/ndg yangu ana tatizo flani kanituma nimwombee msaada wa mawazo??? No I am not of such kind, ni mimi ndio yamenikuta na ninabaki kuwa mimi, well, nimekuelewa Belinda, sitampa tena nafasi ya yeye kunipata, be blessed
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom