Akina dada, wanaelekea wapi? Tunaoa artificial women???

Nadhani ni ufinyu wa mawazo tu walionao baadhi ya wanawake. Wengi wao hawataki kujikubali vile walivyo. Nadhani hakuna mwanamke mbaya, isipokuwa ni kujitambua na kujikubali tu! Haijalishi wewe umepigwa pasi au mweusi, believe me kuna mwanaume atakupenda sana tu jamani. Maintain what God gave you! Sipendi kabisa wanawake wanaomkosoa Mungu aliyewaumba!Mwe HEBU MIKUBALI VILE MLIVYO NDO MTAPENDWA ZAIDI OTHERWISE WANAUME TUTAISHIA KUWAMEGA NA KUWAACHA!Katika kujenga familia wanaume hutafuta (mke) na sio (mwanamke).

:crazy:
Sasa uchague kuwamega hao??? Si uwamege walio natural???? Mbona una-ji contradict???? Kama unaona wanakosea na huwapendi - ACHA KABISA - sio unamweka NATURAL NDANI - na UNAMEGA ARTIFICIAL - WEWE SI NDIO YULE YULE MMOJA??????? SEMA UKWELI..............UNAWAMEGA KWA VILE UNAWAPENDA!!!!
 
Presha toka kwa wanaume ni kubwa sana.Ikiwa wanaume wataonesha kua physical apprearance sio hoja
utaona mengi yatapunguka tu.Don't condemn the symptoms, condemn the causes pia.
 
"Fathers be good to your daughters. Daughters will love like you do. Girls become lovers who turn into mothers so mothers be good to your daughter too" Daughters by John Mayer
Malezi, malezi, malezi, in the end madhara tutakuwa na unrealistic society, watu wenye sura kama vibwengo n.k naamini if you believe kwenye hayo mafakeness basi even in your head utakuwa ni fake
 
Presha toka kwa wanaume ni kubwa sana.Ikiwa wanaume wataonesha kua physical apprearance sio hoja
utaona mengi yatapunguka tu.Don't condemn the symptoms, condemn the causes pia.

Umalaya ndo unafanya watu wafanye haya yote.
sidhani kama kuna mwanaume ambaye anakupenda atataka ufanye mambo yote hayo ili aridhike. tatizo wadada wa hivi wanataka kuridhisha kila mwanaume. sipati picha kama nina mtu mmoja ambaye ataniona nikiwa nimevua nguo na akaridhika kwa nini nikatengeneze matiti? hao wengine wote si wanaona matiti yangu nikiwa nimevaa nguo? si ndo maana wakatuwekea bra? kama unaona matiti yako hayana mwonekano mzuri si unanunua bra ambayo itafanya yaonekane vizuri? hata ukitaka kuweka bluetooth on, kuna bra za kufanya hivyo.............. tunajiua wenyewe, tunasingizia wengine. mbona wao hawajitengenezi kwa ajili yetu? au sisi hatutaki wanaume wanaovutia? ninasikitishwa sana na mdada kujibadilisha eti sababu ya mwanaume................... tujiamini jinsi tulivyo, wakaka wapo wa kumwaga, watakuja tu, hawana alternative
 
Umalaya ndo unafanya watu wafanye haya yote.
sidhani kama kuna mwanaume ambaye anakupenda atataka ufanye mambo yote hayo ili aridhike. tatizo wadada wa hivi wanataka kuridhisha kila mwanaume. sipati picha kama nina mtu mmoja ambaye ataniona nikiwa nimevua nguo na akaridhika kwa nini nikatengeneze matiti? hao wengine wote si wanaona matiti yangu nikiwa nimevaa nguo? si ndo maana wakatuwekea bra? kama unaona matiti yako hayana mwonekano mzuri si unanunua bra ambayo itafanya yaonekane vizuri? hata ukitaka kuweka bluetooth on, kuna bra za kufanya hivyo.............. tunajiua wenyewe, tunasingizia wengine. mbona wao hawajitengenezi kwa ajili yetu? au sisi hatutaki wanaume wanaovutia? ninasikitishwa sana na mdada kujibadilisha eti sababu ya mwanaume................... tujiamini jinsi tulivyo, wakaka wapo wa kumwaga, watakuja tu, hawana alternative

Fixed Point umenena vyema. Inasikitisha kuona baadhi ya wadada wanalazimisha maumbo kwa kiasi hiki. Ni fedheha kwetu wanaume pia kuwa na mtu ambaye mkiwa faragha na akapangua nguo zake unashangaa kukutana na mwonekano wa tofauti. Ni vyema mtu abaki kama alivyo kuliko kuvaa umbo la bandia. Kweli tunakereka mno.
 
Wenye akili wanatafuta wanawake wa ukweli, fake ni kwa kuonja tu!

wazo zuri ila onja onja usijechonga mzinga.... sasa hivi vijana tunatakiwa kuwa kama Manumba tufanye uchunguzi mtambuka kabla ya kukamata demu la sivyo unaweza kuta unagonga nyago.... ivi ivi
 
Basi wanawake hatujajengwa vyema kujiamini, one of the causes?
Katika mazingira haya wanawake wengi bado wanajitambua kwa kupitia macho ya watu.
Na pia wanawake wengi hawana mtaji wowote zaidi ya umbo lao.
Bila kua na source inayo tambulika naamini kua low self esteem ni moja ya sababu.
Sababu nyingine ni vigezo wanavyo tumia wanaume katika kuchagua parterns wao.
 
Katika mazingira haya wanawake wengi bado wanajitambua kwa kupitia macho ya watu.
Na pia wanawake wengi hawana mtaji wowote zaidi ya umbo lao.
Bila kua na source inayo tambulika naamini kua low self esteem ni moja ya sababu.
Sababu nyingine ni vigezo wanavyo tumia wanaume katika kuchagua parterns wao.

Umenena vyema
 
Katika mazingira haya wanawake wengi bado wanajitambua kwa kupitia macho ya watu.
Na pia wanawake wengi hawana mtaji wowote zaidi ya umbo lao.
Bila kua na source inayo tambulika naamini kua low self esteem ni moja ya sababu.
Sababu nyingine ni vigezo wanavyo tumia wanaume katika kuchagua parterns wao.
hivi si tumeumbwa na akili kama hao wanaume? unaweza ukajikita shule mambo yako yakawa mazuri sana badala ya kujikita kutafuta magonjwa ili ujikwamue na maisha. kuna siku nilisikia wadada wakisema ni bora kuishi miaka 20 kwa starehe kuliko kuishi miaka 70 kwa dhiki. na kama ukitumia akili, mikono na miguu yako, utaishije kwa dhiki?
 
uzuri wanawake wanaojifake wanaonekana tuu yaan kwa kila kitu yaan fake in everything na madhara yatokanayo na mtu kujibadilisha like kujinyanyua matiti,kujiongeza ****** na kunywa madawa ya kukufanya white..kewenye yale madawa ya kunywa mara nyingi yanaleta ugumba kwa wanawake, kuzaa matoto matahaira...kujipaka paka hayo mavitu yanadevelop skin cancers na kumomonyoka kwa maumbile mfano makalio kushuka chini,hips haieleweki ipo mbele au wapi yaan ni shida tu..
 
:crazy:
Sasa uchague kuwamega hao??? Si uwamege walio natural???? Mbona una-ji contradict???? Kama unaona wanakosea na huwapendi - ACHA KABISA - sio unamweka NATURAL NDANI - na UNAMEGA ARTIFICIAL - WEWE SI NDIO YULE YULE MMOJA??????? SEMA UKWELI..............UNAWAMEGA KWA VILE UNAWAPENDA!!!!


wafuasi/walioguswaa utawajua tu kwa maneno na majibu yao..
 
Presha toka kwa wanaume ni kubwa sana.Ikiwa wanaume wataonesha kua physical apprearance sio hoja
utaona mengi yatapunguka tu.Don't condemn the symptoms, condemn the causes pia.

Unanikumbusha mbali.
Palikuwa na katuni moja ambayo ilikuwa na mwanamke na mwanamume (zama zile mkorogo ndiyo uko kwenye chati, si hizi za "Caro-light"). Mwanaume akawa analalama baada ya kumwona mwanake aliyejikoboa akipita akasema "Sijui lini wanawake wataacha kujichubua". Jibu la yule mwanamke lilikuwa "Ni siku ile wanaume watakapoacha kupenda wanawake weupe"
 
Umalaya ndo unafanya watu wafanye haya yote.
sidhani kama kuna mwanaume ambaye anakupenda atataka ufanye mambo yote hayo ili aridhike. tatizo wadada wa hivi wanataka kuridhisha kila mwanaume. sipati picha kama nina mtu mmoja ambaye ataniona nikiwa nimevua nguo na akaridhika kwa nini nikatengeneze matiti? hao wengine wote si wanaona matiti yangu nikiwa nimevaa nguo? si ndo maana wakatuwekea bra? kama unaona matiti yako hayana mwonekano mzuri si unanunua bra ambayo itafanya yaonekane vizuri? hata ukitaka kuweka bluetooth on, kuna bra za kufanya hivyo.............. tunajiua wenyewe, tunasingizia wengine. mbona wao hawajitengenezi kwa ajili yetu? au sisi hatutaki wanaume wanaovutia? ninasikitishwa sana na mdada kujibadilisha eti sababu ya mwanaume................... tujiamini jinsi tulivyo, wakaka wapo wa kumwaga, watakuja tu, hawana alternative

Hata malaya anajiamini sana, ndiyo sababu anathubutu kuvaa kinguo cha uchi na kwenda mtaa/viwanja husika ili awanase wanaume wasiojiamini na wanaojiamini.

Wewe unaweza kuthubutu kufanya wanayofanya malaya?
 
hivi si tumeumbwa na akili kama hao wanaume? unaweza ukajikita shule mambo yako yakawa mazuri sana badala ya kujikita kutafuta magonjwa ili ujikwamue na maisha. kuna siku nilisikia wadada wakisema ni bora kuishi miaka 20 kwa starehe kuliko kuishi miaka 70 kwa dhiki. na kama ukitumia akili, mikono na miguu yako, utaishije kwa dhiki?
Naelewa point yako, na nakubaliana nayo, wala sibishi.
Na pia naamini kua wanawake wengi wangefikiri kama wewe
wangeacha kabisa kujibadilisha kwa kuwavutia/furahisha wanaume

But my preference and yours in this matter does not change the reality
Kwamba wanawake wengi bado wanategemea opinion ya wanaume
before they forge their own opinion about themselves.
If we want to do something we have to work on improving their perception of themselves
and simultanely discourage men from promoting women based on their physical appearance.
 
Horse power naomba niongezee tu, yako mengi kusema lakini tutafakari zaidi kwa haya:-
Kichwa: Nywele za bandia(Wigi)
Kope (zinakwanguliwa na kupakwa wanja)
Mdomo (jino/meno yanatolewa na kuwekwa la fedha au dhahabu)

Kiwiliwili: Matiti (ya bandia; kwa mchina au plastic surgery ili yawe makubwa au madogo)
Tumbo (Monalisa belt au mchina kupunguza kitambi)
Kwa heshima (inafanyiwa surgery au kutumia ile miti/mchina ili kumrudisha Bi. Kira)
Miguu: Mapaja (mchina ili yawe makubwa)
Makalio (mchina ili yawe makubwa)
Kucha (mchina na mfaransa); si unajua nyingi zilitoka wakati wa kuokota kuni au kucheza ready(rede)? Mi sijasema funza ndiyo wamesababisha.

Mikono: Kucha (mchina na mfaransa)

Sauti: Bandia, kama wazungu lakini siwazungu, kama wakenya lakini wabongo, kama wasauzi lakini wamatumbi; kama teja, huwezi jua huyu ni mdengeleko na huyu ni mngoni. Ipo ya kuwapigia mizinga kwenye simu na kukoromea anapopigwa mtu kibuti.

Mwendo:
Utafikiri unachezesha "kalikenya". wengi ndiyo mwendo wao haswa wakivaa suruali ama zile za kubana.

Je!Yote hayo anashinikizwa na mwanaume?
 
ushamba unawasumbua, yani mi nijiue kwa machemical ya kichina kisa nimpendezeshe mwanaume, kama hanipendi nilivyo asepe atatokea anayetambua utamu wa kuku wa kienyeji na atanipenda milele.
 
Naelewa point yako, na nakubaliana nayo, wala sibishi.
Na pia naamini kua wanawake wengi wangefikiri kama wewe
wangeacha kabisa kujibadilisha kwa kuwavutia/furahisha wanaume

But my preference and yours in this matter does not change the reality
Kwamba wanawake wengi bado wanategemea opinion ya wanaume
before they forge their own opinion about themselves.
If we want to do something we have to work on improving their perception of themselves
and simultanely discourage men from promoting women based on their physical appearance.
mimi pia nakuelewa sana, nasema tu tukijiamini tunaweza.
tupo pamoja rafiki.
 
Naelewa point yako, na nakubaliana nayo, wala sibishi.
Na pia naamini kua wanawake wengi wangefikiri kama wewe
wangeacha kabisa kujibadilisha kwa kuwavutia/furahisha wanaume

But my preference and yours in this matter does not change the reality
Kwamba wanawake wengi bado wanategemea opinion ya wanaume
before they forge their own opinion about themselves.
If we want to do something we have to work on improving their perception of themselves
and simultanely discourage men from promoting women based on their physical appearance.

Makes me wonder how we go about it? Wanaume wakweli wako wapi?
Wanaume nao wamekuwa materialistic sana, blackberry 2 laptop 3 sijui magdets kibao constantly looking at hot women on the net. Pia hawa macelebrity wa hollywood wanazidi kuharibu wanawake wenzetu, MTV, E Style .... hizi chaneli zinatoa perception ya mwanamke mrembo aweje and tunapokea tu not knowing kuwa we are not the intended audience
 
Horse power naomba niongezee tu, yako mengi kusema lakini tutafakari zaidi kwa haya:-
Kichwa: Nywele za bandia(Wigi)
Kope (zinakwanguliwa na kupakwa wanja)
Mdomo (jino/meno yanatolewa na kuwekwa la fedha au dhahabu)

Kiwiliwili: Matiti (ya bandia; kwa mchina au plastic surgery ili yawe makubwa au madogo)
Tumbo (Monalisa belt au mchina kupunguza kitambi)
Kwa heshima (inafanyiwa surgery au kutumia ile miti/mchina ili kumrudisha Bi. Kira)
Miguu: Mapaja (mchina ili yawe makubwa)
Makalio (mchina ili yawe makubwa)
Kucha (mchina na mfaransa); si unajua nyingi zilitoka wakati wa kuokota kuni au kucheza ready(rede)? Mi sijasema funza ndiyo wamesababisha.

Mikono: Kucha (mchina na mfaransa)

Sauti: Bandia, kama wazungu lakini siwazungu, kama wakenya lakini wabongo, kama wasauzi lakini wamatumbi; kama teja, huwezi jua huyu ni mdengeleko na huyu ni mngoni. Ipo ya kuwapigia mizinga kwenye simu na kukoromea anapopigwa mtu kibuti.

Mwendo:
Utafikiri unachezesha "kalikenya". wengi ndiyo mwendo wao haswa wakivaa suruali ama zile za kubana.

Je!Yote hayo anashinikizwa na mwanaume?
African-American-Hairstyles-2010-1.jpg



28159.gif



Ukiulizwa: what standards do you promote hapo juu utajibuje?
Basi amini usiamini, hizo standards promoted by most men
ndio zinawafanya baadhi ya wanawake kujibadilisha miili
Ili waweze fufanana na hao mnayo promote (Ni low self esteem)

If men change the physical criterion and promomote other ones
huenda mambo yakabadilika. we need to work both ways, together.
 
Back
Top Bottom