Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 13,192
- 27,274
Hazijapita siku nyingi toka Alikiba atoe video na audio ya Lupela, nyuzi nyingi zilianzishwa kuponda kazi yake na wengi wakisisitiza kwamba video ni mbaya!!
Sasa leo baada ya kutoka video ya Diamond na AKA, kila anayeenda tofauti na mitazamo yao na kukosoa video eti anaitwa hater! Mara hawapendi maendeleo ya Mtanzania mwenzao na upuuzi mwingine mwingi!!
Hivi hawa watu wao wanampenda Kiba na kutaka kuona anafika mbali? Wanachokifanya siyo chuki kama wanachohubiri dhidi ya watu wanaokosoa kazi za Diamond?? Inawezekana kweli kazi zote za kiba zikawa mbaya kwao? Au ndiyo hiki kinachoitwa ushabiki maandazi?
Sasa leo baada ya kutoka video ya Diamond na AKA, kila anayeenda tofauti na mitazamo yao na kukosoa video eti anaitwa hater! Mara hawapendi maendeleo ya Mtanzania mwenzao na upuuzi mwingine mwingi!!
Hivi hawa watu wao wanampenda Kiba na kutaka kuona anafika mbali? Wanachokifanya siyo chuki kama wanachohubiri dhidi ya watu wanaokosoa kazi za Diamond?? Inawezekana kweli kazi zote za kiba zikawa mbaya kwao? Au ndiyo hiki kinachoitwa ushabiki maandazi?