Nitoe maoni bila kuwa na uhakika wa kufanyiwa kazi. Inajulikana kuwa kila mwaka nchi yetu inazalisha vijana wazuri wanao weza kutumikia umma. Wahitimu hawa hotokea pande zote, mijini na vijijini.Kuhusu nafasi za ajira kidogo zinazo patikana, basi zigawiwe kuanzia ngazi ya Kata zote za tanzania ili dhamira ya kuelimisha watoto wa tanzania izae matunda kwa wote.