Tume ya Katiba
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 4,896
- 1,862
Wadau,
taarifa toka kwa mdau wa wizara ya elimu zinaeleza kuwa anytime kama walimu wataendelea kugoma, huenda serikali sikivu ikatangaza ajira za ualimu kwa watu wenye shahada zisizo za ualimu. kama taarifa hii ni ya kweli basi wadau wasio na ajira waandae vyeti.
taarifa toka kwa mdau wa wizara ya elimu zinaeleza kuwa anytime kama walimu wataendelea kugoma, huenda serikali sikivu ikatangaza ajira za ualimu kwa watu wenye shahada zisizo za ualimu. kama taarifa hii ni ya kweli basi wadau wasio na ajira waandae vyeti.