Ajira TAMISEMI

raky

JF-Expert Member
Nov 14, 2011
206
32
Samahani wapendwa sijui ni Mimi tu, sijawahi kuona kazi zikitangazwa tamisemi, sasa sijui tamisemi wafanyakazi hawastaafu, au hawahamishwi au hawaachi kazi? Naomba tusaidiane, Mimi binafsi natamani sana kufanya kazi na hiyo taasisi, kila nkichungulia magazeti wapi, kwenye mitandaao ndo kabisa. Sijawahi ona wakitangaza, msaada plz
 
Samahani wapendwa sijui ni Mimi tu, sijawahi kuona kazi zikitangazwa tamisemi, sasa sijui tamisemi wafanyakazi hawastaafu, au hawahamishwi au hawaachi kazi? Naomba tusaidiane, Mimi binafsi natamani sana kufanya kazi na hiyo taasisi, kila nkichungulia magazeti wapi, kwenye mitandaao ndo kabisa. Sijawahi ona wakitangaza, msaada plz

sio kuwa hao wanaajiriwa na miko na halmashauri tu.
 
Inaonyesha hata hujui nini maana ya TAMISEMI!! ...tamisemi ni tawala za mikoa na serikali za mitaa!!

Hivyo,waajiriwa wote wa ofisi za halmashauri za wilaya tanzania(LGAs) pamoja na waajiriwa wa ofisi za wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya wapo chini ya TAMISEMI

Ajira za tamisemi (isipokua walimu na watu wa idara ya afya ambao hupangiwa kaz moja kwa moja) hushughulikiwa na kutangazwa na Sekretariet ya ajira ktk utumishi wa umma ambayo kwa mujibu wa sheria ya utumishi wa umma namba 8 ya mwaka 2002 km ilivyofanyiwa marekebisho na sheria namba 18 ya mwaka 2007 kifungu cha 29(1) imepewa mamlaka ya kuendesha mchakato wa ajira ktk utumishi wa umma ,

Hivyo,TAMISEMI wanatangaza nafas na kuajiri watu kila mara lkn ajira zao hupitia sekretariet ya ajira ktk utumishi wa umma km nlivyoeleza hapo juu!!

Mpaka juz tu wamewaajiri vijana kibao kwenye kada tofauti tofauti ikiwemo afisa tarafa,afisa utumishi,afisa tawala nk!!

Kwa maelezo zaid ya namna ya kuzipata ajira za tamisemi,usiache kutembelea web ya sekretariet ya ajira ktk utumish wa umma ambayo ni PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT - PSRS
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Inaonyesha hata hujui nini maana ya TAMISEMI!! ...tamisemi ni tawala za mikoa na serikali za mitaa!!

Hivyo,waajiriwa wote wa ofisi za halmashauri za wilaya tanzania(LGAs) pamoja na waajiriwa wa ofisi za wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya wapo chini ya TAMISEMI

Ajira za tamisemi (isipokua walimu na watu wa idara ya afya ambao hupangiwa kaz moja kwa moja) hushughulikiwa na kutangazwa na Sekretariet ya ajira ktk utumishi wa umma ambayo kwa mujibu wa sheria ya utumishi wa umma namba 8 ya mwaka 2002 km ilivyofanyiwa marekebisho na sheria namba 18 ya mwaka 2007 kifungu cha 29(1) imepewa mamlaka ya kuendesha mchakato wa ajira ktk utumishi wa umma ,

Hivyo,TAMISEMI wanatangaza nafas na kuajiri watu kila mara lkn ajira zao hupitia sekretariet ya ajira ktk utumishi wa umma km nlivyoeleza hapo juu!!

Mpaka juz tu wamewaajiri vijana kibao kwenye kada tofauti tofauti ikiwemo afisa tarafa,afisa utumishi,afisa tawala nk!!

Kwa maelezo zaid ya namna ya kuzipata ajira za tamisemi,usiache kutembelea web ya sekretariet ya ajira ktk utumish wa umma ambayo ni PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT - PSRS

maelezo mazuri sana inaonekana mleta mada hajui chochote kabisa.Nakushukuru kwa kumsaidia
 
Walitangaza mwaka huu nafasi za kazi zilikua 5 kwa ajili ya afisa mtendaji kata bado hawajaita nadhani
 
Inaonyesha hata hujui nini maana ya TAMISEMI!! ...tamisemi ni tawala za mikoa na serikali za mitaa!!

Hivyo,waajiriwa wote wa ofisi za halmashauri za wilaya tanzania(LGAs) pamoja na waajiriwa wa ofisi za wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya wapo chini ya TAMISEMI

Ajira za tamisemi (isipokua walimu na watu wa idara ya afya ambao hupangiwa kaz moja kwa moja) hushughulikiwa na kutangazwa na Sekretariet ya ajira ktk utumishi wa umma ambayo kwa mujibu wa sheria ya utumishi wa umma namba 8 ya mwaka 2002 km ilivyofanyiwa marekebisho na sheria namba 18 ya mwaka 2007 kifungu cha 29(1) imepewa mamlaka ya kuendesha mchakato wa ajira ktk utumishi wa umma ,

Hivyo,TAMISEMI wanatangaza nafas na kuajiri watu kila mara lkn ajira zao hupitia sekretariet ya ajira ktk utumishi wa umma km nlivyoeleza hapo juu!!

Mpaka juz tu wamewaajiri vijana kibao kwenye kada tofauti tofauti ikiwemo afisa tarafa,afisa utumishi,afisa tawala nk!!

Kwa maelezo zaid ya namna ya kuzipata ajira za tamisemi,usiache kutembelea web ya sekretariet ya ajira ktk utumish wa umma ambayo ni PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT - PSRS

Maelezo yako ni sawa. Lkn hata hivo bado hawako wazi sana hasa kwenye nafasi za ngazi ya juu mfano Wakurugenzi Watendaji (DED) au wakuu wa Idara na makatibu tawala. Ningependa kufahamu kama nafasi hizo ni za kuteuliwa au?
 
Maelezo yako ni sawa. Lkn hata hivo bado hawako wazi sana hasa kwenye nafasi za ngazi ya juu mfano Wakurugenzi Watendaji (DED) au wakuu wa Idara na makatibu tawala. Ningependa kufahamu kama nafasi hizo ni za kuteuliwa au?

Umeishia kidato gani mkuu. Labda tuanzie hapo kabla ya kukujibu... Maan nimeona umeuliza had nafasi ya mkurugenzi
 
Mmmmh! mweee! mkuu nataka ku apply nafasi ya u kurugenzi??? we nani ulimsikia/umemsikia amewahi ku apply hiyo nafasi????
 
We hizo ajira za kusubiria kwenye magazeti ziliisha miaka ya 70. Ajira ikifikia kwenye gazeti siku hizi ujue kuna mwenzio anajiandaa kuchukua ofisi tayari.
 
Nadhani mkurugenzi ni mteuliwa na mkuu wa nchi km sijakosea.
 
Duh sio mchezo baba zetu form four walitetemesha ofisini ujana wa sasa umekaa vbaya
Inaonyesha hata hujui nini maana ya TAMISEMI!! ...tamisemi ni tawala za mikoa na serikali za mitaa!!

Hivyo,waajiriwa wote wa ofisi za halmashauri za wilaya tanzania(LGAs) pamoja na waajiriwa wa ofisi za wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya wapo chini ya TAMISEMI

Ajira za tamisemi (isipokua walimu na watu wa idara ya afya ambao hupangiwa kaz moja kwa moja) hushughulikiwa na kutangazwa na Sekretariet ya ajira ktk utumishi wa umma ambayo kwa mujibu wa sheria ya utumishi wa umma namba 8 ya mwaka 2002 km ilivyofanyiwa marekebisho na sheria namba 18 ya mwaka 2007 kifungu cha 29(1) imepewa mamlaka ya kuendesha mchakato wa ajira ktk utumishi wa umma ,

Hivyo,TAMISEMI wanatangaza nafas na kuajiri watu kila mara lkn ajira zao hupitia sekretariet ya ajira ktk utumishi wa umma km nlivyoeleza hapo juu!!

Mpaka juz tu wamewaajiri vijana kibao kwenye kada tofauti tofauti ikiwemo afisa tarafa,afisa utumishi,afisa tawala nk!!

Kwa maelezo zaid ya namna ya kuzipata ajira za tamisemi,usiache kutembelea web ya sekretariet ya ajira ktk utumish wa umma ambayo ni PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT - PSRS
 
Samahani wapendwa sijui ni Mimi tu, sijawahi kuona kazi zikitangazwa tamisemi, sasa sijui tamisemi wafanyakazi hawastaafu, au hawahamishwi au hawaachi kazi? Naomba tusaidiane, Mimi binafsi natamani sana kufanya kazi na hiyo taasisi, kila nkichungulia magazeti wapi, kwenye mitandaao ndo kabisa. Sijawahi ona wakitangaza, msaada plz

hata mimi sijawahi ona
 
Samahani wapendwa sijui ni Mimi tu, sijawahi kuona kazi zikitangazwa tamisemi, sasa sijui tamisemi wafanyakazi hawastaafu, au hawahamishwi au hawaachi kazi? Naomba tusaidiane, Mimi binafsi natamani sana kufanya kazi na hiyo taasisi, kila nkichungulia magazeti wapi, kwenye mitandaao ndo kabisa. Sijawahi ona wakitangaza, msaada plz

siyo kweli mkuu!
 
Inaonyesha hata hujui nini maana ya TAMISEMI!! ...tamisemi ni tawala za mikoa na serikali za mitaa!!

Hivyo,waajiriwa wote wa ofisi za halmashauri za wilaya tanzania(LGAs) pamoja na waajiriwa wa ofisi za wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya wapo chini ya TAMISEMI

Ajira za tamisemi (isipokua walimu na watu wa idara ya afya ambao hupangiwa kaz moja kwa moja) hushughulikiwa na kutangazwa na Sekretariet ya ajira ktk utumishi wa umma ambayo kwa mujibu wa sheria ya utumishi wa umma namba 8 ya mwaka 2002 km ilivyofanyiwa marekebisho na sheria namba 18 ya mwaka 2007 kifungu cha 29(1) imepewa mamlaka ya kuendesha mchakato wa ajira ktk utumishi wa umma ,

Hivyo,TAMISEMI wanatangaza nafas na kuajiri watu kila mara lkn ajira zao hupitia sekretariet ya ajira ktk utumishi wa umma km nlivyoeleza hapo juu!!

Mpaka juz tu wamewaajiri vijana kibao kwenye kada tofauti tofauti ikiwemo afisa tarafa,afisa utumishi,afisa tawala nk!!

Kwa maelezo zaid ya namna ya kuzipata ajira za tamisemi,usiache kutembelea web ya sekretariet ya ajira ktk utumish wa umma ambayo ni PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT - PSRS

Ofisi ya waziri mkuu tawala za mikoa na serikali za mitaa.
 
Back
Top Bottom