nkanga chief
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 2,084
- 1,620
- Thread starter
- #21
si kushinda tu na kulala humuwewe kila siku unashinda humu unategemea ajira za Magufuli, pole sana bwana mdogo.
si kushinda tu na kulala humuwewe kila siku unashinda humu unategemea ajira za Magufuli, pole sana bwana mdogo.
jambo sir salute kwake seniorHahahahaha
Jambo jambo Nkanga
aisee yaani Juma kanywa Pombe ya Maharagwe yasiyoiva lazima namba isomwejuma pombe maharage
Alcohol sio mtu wa mchezo mchezo
Possible kabisa, mwezi wa pili kuelekea mwisho wa mwaka wa fedha hiyo pesa inapatikana wapi?Unapiga ramli chief?
Kumbuka hawashindwi kuzipeleka mpaka bajeti ya 2017/2018.
Chalii ukapimwe akili maana unaleta habari za uzushi.si kushinda tu na kulala humu
Mkuu utumishi wamekujibu kuwa hakuna kitu kama hichohuo ndoo kweli kama unasubiri subiri
Jamaa uzushi mwingi Sana. Kwasasa atapunguzaMkuu utumishi wamekujibu kuwa hakuna kitu kama hicho