Ajira portal

MPSZX PAULO

Member
Mar 12, 2020
38
32
Hbr za asubuhi Wana jamvi ni nini kimetokea kwenye page ya ajira portal maana naona haifunguki na na inaandika hakuna taarifa zozote au wamefuta page ya ajira portal?
Screenshot_20240224-073131.jpg
 
Wabongo sijui tuna matatizo ya akili au vp, kitu kidogo tuu tayari malalamiko
 
Ingetolewa taarifa na wahusika kwamba kutakuwa na changamoto hii na hii basi kusingekuwa na malalamiko kwahiyo wanaolalamika ni haki yao
Kwan hy changamoto n temporary au permanent.? Tatizo lenu ikifika deadline ndo mnajifanya mna haraka
 
Back
Top Bottom