EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
- Thread starter
- #21
Ni kweli kijana amejifanyia ukatili wa kutisha kwa
Kujinyonga hadith kufa sababu alizoziacha
Ni anasema ameamua kujiua baada ya kunyang'anywa girl friend na huyo binti inaelekea alikuwa nae tangu
Form 5na6 na wakahamia wote hapo chuoni
Mwanza kufika mwanza ndipo binti alipomsaliti na huyo
Aliemchukua akatengeneza genge la marafiki ambao kazi yake ikawa kumzomea na kumtania hichi ndicho kimepelekea akose raha na kujiua. Marehemu ni mdogo wangu kabisa :alikuwa mwanafunzi wa mwaka wa kwanza sheria.jinalake. SEIYA JEROME DOMINICK:
Pole sana na msiba Mkuu.