EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
Kuna tetesi kuwa mwanafunzi mmoja wa Chuo cha SAUT jijini Mwanza amejinyonga juzi. Habari zinasema marehemu aliacha ujumbe ukileza kuwa sababu za kujinyonga ni wenzake kumwita Cameron. Mwenye taarifa zilizodhibitishwa atufahamishe. Mwezi Septemba mwaka jana mkazi wa Kinondoni Deogras Paul alikutwa chumbani kwake akiwa amejinyonga kwa kutumia shuka kwa kile kilichodai kuitwa ‘shoga' na majirani zake.