Ajali ya Precision Air: Ripoti yabaini hakuna Control Tower, Boti za Uokozi zilichelewa, Mhudumu na Abiria ndio waliofungua mlango

Kampuni ya precision bangiii ,wale I tu eti wanamlaumu majaliwa kwani majaliwa anahusikaje na ujinga wao ??

Hawana akili hao wao ndio walipaswa kuweka mambo Yao sawa wameua watu watu Kisa uzembe wanasingizia serikali wapuuzi labda ingekuwa air Tanzania maana ndio ya serikali wameniboa au walitaka kutoa wenzao sadaka wapate wateja wengi
 
Kwa ujumla wanakiri kwamba serikali haikutoa msaada wo wote ila picha zilionekana mitandaoni watumishi wa serikali (wanajeshi & polisi) wakishuhudia wananchi wakiokoa wahanga wa hiyo ajali.

Na huyo Majaliwa ambae nyota imeng’aa mbona hiyo report haimtambui hata kwa kumtaja tu au kumshukuru?
 
Ukweli umefahamika kuhusiana na chanzo cha ajali na Uzembe mkubwa uliopelekea maisha ya watu Kupotea.

Na pia kikosi kilipokuja masaa 4 baadaye kilikuja kikiwa hakina mitungi ya oxygen. Hivyo kikawa nacho kimekuja kushuhudia tukio.

Screenshot_2022-11-22-22-33-24-479_com.instagram.android~2.jpg
 
Ukweli umefahamika kuhusiana na chanzo cha ajali na Uzembe mkubwa uliopelekea maisha ya watu Kupotea.

Na pia kikosi kilipokuja masaa 4 baadaye kilikuja kikiwa hakina mitungi ya oxygen. Hivyo kikawa nacho kimekuja kushuhudia tukio.

View attachment 2424507
Bongo ujinga hauishi...
Kutokuwa na control tower sio hoja, kuna viwanja vingi bongo havina control tower na uongozaji upo.

Issue ni decision making as quoted from the report; "Given this type of weather at Bukoba airport, the pilot
should have chosen to divert to Mwanza or to circle around until the weather condition improved."
 
Kampuni ya precision bangiii ,wale I tu eti wanamlaumu majaliwa kwani majaliwa anahusikaje na ujinga wao ??

Hawana akili hao wao ndio walipaswa kuweka mambo Yao sawa wameua watu watu Kisa uzembe wanasingizia serikali wapuuzi labda ingekuwa air Tanzania maana ndio ya serikali wameniboa au walitaka kutoa wenzao sadaka wapate wateja wengi

Mbona majaliwa hajatajwa kwenye ripoti?
 
K
Kwa ujumla wanakiri kwamba serikali haikutoa msaada wo wote ila picha zilionekana mitandaoni watumishi wa serikali (wanajeshi & polisi) wakishuhudia wananchi wakiokoa wahanga wa hiyo ajali.

Na huyo Majaliwa ambae nyota imeng’aa mbona hiyo report haimtambui hata kwa kumtaja tu au kumshukuru?

Kikosi kilikuja baada ya masaa manne na nusu baada ya ajali kutokea.
 
Back
Top Bottom