Kwa mliokuwepo uko mtujulishe kilichoendeelea;jana nimetumiwa msg usiku wakati ndege ya kq ikiondoka iligonga gari ya fuel iliokuwa nyuma yake na ikabidi warudi kwenye bridge kwa mliokuwepo embu tusaidien na sababu ni nini uzembe ama???
Kwa mliokuwepo uko mtujulishe kilichoendeelea;jana nimetumiwa msg usiku wakati ndege ya kq ikiondoka iligonga gari ya fuel iliokuwa nyuma yake na ikabidi warudi kwenye bridge kwa mliokuwepo embu tusaidien na sababu ni nini uzembe ama???
Swiss air once aborted landing at jomo kenyata airport baada ya umeme kukatika ndege ilipokaribia runway, wakaja tua dar nayo ilikuwa ni aibu yao???Kama ni umeme tena, mbona ni aibu kuu hii.....
Mkuu hii habari ilikuwa ni ya 2011....Kosa lilikuwa ni la "Ground Engineer" na "Mashaller" pamoja na mtu wa "Towing Car"Hamna hata mwenye taarifa kamili