Ajali ya gari Bunju, wananchi wachoma Kituo cha Polisi

Jackmedia

Member
Apr 19, 2015
81
26
Kama ulikua na ratiba ya kwenda bagamoyo acha kabisa.

Watoto wa shule ya msingi wamelala barabarani baada ya mwenzao mmoja kugongwa na gari na inasemekana amefariki dunia, hvyo kuanzia Bunju A Bunju B kuendelea ni balaa hata baiskeli hakuna wameshika mifagio na magongo na raia wako makini kuangalia kinacho endea.

Stay tune for update.

----
Wananchi wamechoma moto Kituo cha Polisi Bunju 'A' na Askari wote wamekimbia, kwa ujumla hali sio shwari hadi sasa na barabara imefungwa.

Mahabusu waliokuwa ndani wametoka salama baada ya kufunguliwa na msamaria mwema.
 
Kova hajafika hapo na timu ya mabomu ya kutoa machozi na risasi OVA...
 
Kova hajafika hapo na timu ya mabomu ya kutoa machozi na risasi OVA...

Acha Tu! wananchi na wanafunzi wamechukua sururu na kuanza kuchimba barabara askari wakapiga risasi juu na kuanza kuporomosha mabomu mfululizo watu wakapiga mawe sana hadi askari wamekimbia so tunajaribu kuona kama watarudi kwa gia gani.
 
Picha hizo wadau bado nipo huku tumekwama saa ya nne sasa
 

Attachments

  • 1436514295171.jpg
    1436514295171.jpg
    60 KB · Views: 15,811
  • 1436514327771.jpg
    1436514327771.jpg
    38.9 KB · Views: 5,088
  • 1436514361641.jpg
    1436514361641.jpg
    57.8 KB · Views: 5,082
  • 1436514414002.jpg
    1436514414002.jpg
    65.9 KB · Views: 16,062
  • 1436514679332.jpg
    1436514679332.jpg
    53.8 KB · Views: 5,090
mwenzao kagongwa. wanakaa barabarani kuishinikiza serikali ichukue hatua kwani madereva wengi wehu bila matuta hawewezi kujicontrol!

Saa zingine madereva wanaweza singiziwa, ukute hiyo ajari imetokea sehemu ambayo hakuna zebra.... wanafunzi saa zingine wanavuka sehemu tofauti na zebra...
Tukienda hivyo barabara nzima itakuwa na matuta...
 
Duh! Madogo wamechachamaa! Poleni jamani, lakini ndo nchi ilikofikia! Madereva acheni viroba jamani! Khaaa!
 
Saa zingine madereva wanaweza singiziwa, ukute hiyo ajari imetokea sehemu ambayo hakuna zebra.... wanafunzi saa zingine wanavuka sehemu tofauti na zebra...
Tukienda hivyo barabara nzima itakuwa na matuta...

hata kama hamna zebra,kama dereva makini unatakiwa kujua eneo likoje, kuna shule au nyumba nyingi watoto lazima watavuka hovyo! mtoto ni mtoto tu anavuka popote na kwa namna yoyote wewe kama dereva unatakiwa ujue hilo
 
Back
Top Bottom