kidadari
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 8,647
- 9,574
Kama ulijua mkuu wamepewa kifungo cja maisha gerezaniHao waliochoma kituo lazima wabambikiwe kesi ya robbery.
Wameonekana ITV
Kama ulijua mkuu wamepewa kifungo cja maisha gerezaniHao waliochoma kituo lazima wabambikiwe kesi ya robbery.
Wameonekana ITV
Mimi na ukubwa wangu nilishawahi kufanya hivyo lakini nilishangaa tu nimepaa juu kimo cha ng,ombe kisha nikapoteza fahamu. Nilikua navuka nikaangalia kushoto hukukua na gari nikaangalia kuli pia hapakua na gari nikaangalia kushoto tena kisha nikavuka. Kumbe gari ilitoka ndani ya geti kwenye moja ya nyumba za pembezon mwa barabara.Na wanafunzi nao wafundishwe kabla hawajavuka barabara waangalie pande zote kabla hawajavuka. Wengine mizaha sana barabarani.
Hatari sanaMimi na ukubwa wangu nilishawahi kufanya hivyo lakini nilishangaa tu nimepaa juu kimo cha ng,ombe kisha nikapoteza fahamu. Nilikua navuka nikaangalia kushoto hukukua na gari nikaangalia kuli pia hapakua na gari nikaangalia kushoto tena kisha nikavuka. Kumbe gari ilitoka ndani ya geti kwenye moja ya nyumba za pembezon mwa barabara.
Sent using Jamii Forums mobile app