Ajali ya gari Bunju, wananchi wachoma Kituo cha Polisi

Mkuu;

Sidhani kama lie neo la Bunju A shule unalifahamu. Au kama unalifahamu basi huenda huwa unapita tu njia na siyo kupata muda wa masaa machache kukaa pale barabarani ili uone magari jinsi yanavyotembea kwa mwendo kasi bila ya kujali wavuka barabara. matuta ya mistari yaliyopo ni sawa na takataka kumwaga barabarani kwani hayasaidii kupunguza mwendo.

Miaka mingi sana nyuma tulishauri mbele ya Mbunge kuwa tunaomba eneo lile pawekwe matuta au taa za barabarani mfano kama zile zilizopo Oysterbay shule ya msingi. Lakini hakuna wa kusikiliza vilio vya wananch walalahoi.

Sisi Madereva ni chanzo cha baadhi ya ajali kutokana na kudharau waenda kwa miguu na watumiaji wengine wa barabara.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!

dakika chache baada ya ajali nilikuwa napita pale kuelekea bagamoyo kabla vurugu hazijaanza,nina uzoefu sana na eneo hilo malory ya mchanga huenda kwa kasi ya ajabu kama kuna mashindano !!matuta ni si dhani kama ndio mwarobaini wa ajali za watoto wa shule nashauri tena shule ziwepo kila upande ili kuwe hakuna haja ya mtoto kuvuka barabara kwenda shule.kwanini mtoto atoke mabwe pande aje shule bunju A
 
hata kama hamna zebra,kama dereva makini unatakiwa kujua eneo likoje, kuna shule au nyumba nyingi watoto lazima watavuka hovyo! mtoto ni mtoto tu anavuka popote na kwa namna yoyote wewe kama dereva unatakiwa ujue hilo

Sahihi Kabisa Unavyosema. Tatizo Ni, Kutokana Na Ugumu Wa Maisha Sanjari Na Ukosefu Wa Ajira, Fani Ya Udereva Nayo Imevamiwa Na Watu Ambao Ama Wamefeli Au Hawakwenda Shule Kabisa.. Barabarani Kuna Mambo Ya Ajabu Na Hatari Yanafanywa Na Madereva Uchwara.. Traffic Wapo.. Ndo Maana Vituo Vya Polisi Vinatiwa Moto..
 
Bunju A sasa shwari... Alama ya barabani yenye kuonyesha kuwa mwendo kasi kuwa 50kph ipo mita chache kutoka njia panda ya Nafaka na pia mita chache kutoka kivuko cha watoto wa shule.

Ikumbukwe kwamba dereva alikuwa anaelekea Bagamoyo...

Kituo kidogo cha Polisi Bunju kinayo mapungufu mengi na naamini wananchi wametumia mwanya huo kulipiza visasi...

Nadhani usiku wa leo bunju itakuwa ni sehemu salama zaidi hapa Tanzania...

Ni upumbavu pia kutumia watoto Kama kinga ya Risasi

....

Jioni njema na poleni wafiwa
 
Okay hakuna zebra lakin alama ya eneo la shule si ipo? Madereva wengi ni wehu tena hawana huruma hata kidogo.
 
Njia hizo watu full mwendo.
Unaweza kukuta kila siku wanaambiwa waweke matuta lakiniw anapotezea.
Hapo wataweka

Ni kweli hakuna matuta eti ni highway. Watu wengi sana wamegongwa maeneo hayo na kufa, tena wengine wakiwa pembeni kabisa mwa barabara.
 
Hasira hasara jamani ajali ya mwanafunzi ndio inasababisha kuchomwa moto kituo cha walinda usalama wetu.

walinda usalama au wapiga hela? Hawa jamaa hasa traffic police ni bure kabisa, kazi kukusanya buku mbilimbili tu toka kwa madereva.
 
RIP. Ila hawa watoto wana akili kuliko wazazi wao (... ambao wamekuwa wanaburuzwa na ccm kwa miaka 54 sasa)
 
Madereva wakiambiwa kwenda kusoma hawataki, lkn ajari kila cku bora waendetu...
 
Zamani sana palikuwa na utaratibu wa kufundisha watoto namna ya kuvuka barabara.sijui kama linafanyika kwa sasa
 
Mmh huku mtaani ukiendesha gari uwe makini. Ukigonga mtoto utashangaa ndani ya dk moja gari yako imekuwa majivu. Ugumu wa maisha unachangia sana watu kuwa na hasira zisizopimika.
 
Back
Top Bottom