Kassim Awadh
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 884
- 187
Mtu mmoja amefariki dunia papo hapo na wengine Saba kujeruhiwa baada ya lori aina ya Scania mali ya Ndugu Bhanji kufail breki katika mteremko wa Nzovwe na kwenda kuigonga gari ndogo Prado iliyokuwa ikiendeshwa na mama Edna Sanga ambaye amefariki katika ajali hiyo. Dereva wa Lori aliyefahamika kwa jina moja la Daud ni moja ya majeruhi waliolazwa Rufaa Mbeya.