Bepari2020
JF-Expert Member
- Nov 7, 2020
- 2,073
- 2,450
Wakati mhe. Salome Mbatia anafariki kwa ajali, hao Trafiki hawakuwepo barabarani?
Hapa ni shida ya madereva wa gari za umma kuendesha kwa kutozingatia tahadhari na sheria za barabarani
R. I. P. Ded na Dereva
Kama walikuwepo hawakutosha. Wangeongezwa.