Trafiki warudishwe barabarani. Hali inatisha.
Mimi niko Barabarani karibia kila siku,hao Matrafiki qanatusumbua sisi ila Madereva wa Gari za Serkali huwa hawaguswi tena wengine huwa wanawasha na Vimulumuli.
Kwahiyo utitiri wa Matrafiki huwa unatusumbua sisi haswa Madereva wa Malori.
Nataka kusema ule utitiri usirudishwe,na asietii sheria ba shuruti atakufa mwenyewe na Bosi wake.
Sasa wakirudi wakawa tunawapa alfu mbilimbili ndio itazuia nini.lazima trafiki warudishwe.
Sio kwamba fuso iliyo fail brake ndio tatizo, huenda ilikuwa speed sana ile fuso,kukutana na jamaa naye kaivaHio ni prado j150 itakuwa 1KD imemtia uchizi dereva akawa anapasuka tu na uluzi ule 😂😂😂
Dah sio yeye ni kale kauluzi ka 1KD-FTV 😂😂😂 ndio kamemponzaHawa wadau wanakimbiza sana gari.. Bila kusoma mchezo,
Kweli njaa mbaya.bwana tirafiki.hao magari yao uwa yanaogopa polisi?
Hawa Madereva wa Serikali huwa wanakimbia mno hata tochi huwa hawaogopi.Sio kwamba fuso iliyo fail brake ndio tatizo, huenda ilikuwa speed sana ile fuso,kukutana na jamaa naye kaiva
Kweni hawapo?
Sasa wakirudi wakawa tunawapa alfu mbilimbili ndio itazuia nini.
Ami, wewe pika halua huko Nyumbani mambo ya Barabarani tuachie sisi, tunajua kero zake.
Ami pika halua, haya mambo huyajui hivi huko Uingereza matrafiki ni wengi mabarabarani?Ndiyo maana nasema waongezwe. Hizo alfu mbili ulipa mara 10 au mara 20 utabadilika tu.
We nawe utakua trafiki tu bila shaka. Hatutaki rushwa za kijinga za kubamibikiana makosa.Asiye tii sheria anaweza kumgonga anaye tii sheria. Kwa hiyo lazima trafiki warudishwe. Faida gani ya walipa kodi kulipa mishahara ya trafiki washinde vituoni wakati watu wanakufa barabarani?
Maisha ya kubahatisha hasahasa kufariki kutokana na ajali utayasikia zaidi nchi maskini tu ambako ajali zinaripotiwa karibu kila week. Ila nchi zilizoendelea, vifo vya ajali unaweza kuvisikia mara moja kwa kila mwaka au pengine kila baada ya miaka 2 kabisa..Kuishi kubahatisha!
Ami, anatuwashia moto wakati yeye keshamkimbia Mkoloni mweusi.We nawe utakua trafiki tu bila shaka. Hatutaki rushwa za kijinga za kubamibikiana makosa.
Wakati mhe. Salome Mbatia anafariki kwa ajali, hao Trafiki hawakuwepo barabarani?Trafiki warudishwe barabarani. Hali inatisha.
Ami pika halua, haya mambo huyajui hivi huko Uingereza matrafiki ni wengi mabarabarani?
We nawe utakua trafiki tu bila shaka. Hatutaki rushwa za kijinga za kubamibikiana makosa.
Eneseketesha sana, inabidi umakini na kuomba tu Mungu dada
Hapana , ukitokea dar unaanza mlima huo wa pipeline inyala unakwenda itewe ndo unafika mlima nyokaHuo ndio mlima nyoka?