Tuwaombee wote waliopoteza maisha yao, Lakini cha muhimu ni hawa waendesha bodaboda huwa hawatii sheria wawapo barabarani ndio tatizo kubwa na huenda pia hawana uzoefu wa kutosha kwa ufahamu wa sheria za barabarani.
Idadi kubwa ya vijana wamejiingiza katika biashara hii baada ya kukosa kazi mbadala hivyo serikali inatakiwa itoe mafunzo ya kutosha juu ya waendesha bodaboda vinginevyo tutaendelea kushuhudia vifo vya kila mara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.